Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ndugu Mkuu, Kwa kweli inaonekana kwa sisi watu wa Dar es salaam mmeanza kututenga. Inaumiza sana. Mpaka sasa Shujaa Majariwa wamemuona tu watu wa Kagera, Mwanza ,Dodoma na Tanga kama sikosei.
Sisi Dar mtatuletea lini tuweze msabahi shujaa huyu? Naumizwa na jambo hili maana hata Wabunge wetu kama nao hawaelewi majukumu yao. Tunaomba kijana huyu aliyeokoa watu ziwani afike Dar uwanja wa Taifa au Mnazi mmoja tuweze mshuhudia.
Mimi natamani hata nipate nafasi ya kumgusa. Nimeshangaa Mkuu wa Mkoa wa Dar amezubaa mpaka Tanga wameweza mpiku na kumkaribisha Shujaa huyu Mkoani kwao. Tunaomba sana Serikali iangalie namna ya kutusaidia na sisi tuweze mwona huyu Shujaa.
Ambaye hakuogopa hata CHUNUSI MLE MAJINI. alipiga mbizi na kuwaokoa watu hao akiupiga mlango kwa kasia ukaachia na akawatoa Manusura.
Pia nitoe pongezi za dhati kwa Rai na Waziri Mkuu kwa namna ambavyo wameweza fanikisha suala hili la kijana huyo kuokoa Watanzania wengine. Hizi zote ni juhudi za Serikali yetu ya CCM katika kujali maisha ya Watanzania.
Sisi Dar mtatuletea lini tuweze msabahi shujaa huyu? Naumizwa na jambo hili maana hata Wabunge wetu kama nao hawaelewi majukumu yao. Tunaomba kijana huyu aliyeokoa watu ziwani afike Dar uwanja wa Taifa au Mnazi mmoja tuweze mshuhudia.
Mimi natamani hata nipate nafasi ya kumgusa. Nimeshangaa Mkuu wa Mkoa wa Dar amezubaa mpaka Tanga wameweza mpiku na kumkaribisha Shujaa huyu Mkoani kwao. Tunaomba sana Serikali iangalie namna ya kutusaidia na sisi tuweze mwona huyu Shujaa.
Ambaye hakuogopa hata CHUNUSI MLE MAJINI. alipiga mbizi na kuwaokoa watu hao akiupiga mlango kwa kasia ukaachia na akawatoa Manusura.
Pia nitoe pongezi za dhati kwa Rai na Waziri Mkuu kwa namna ambavyo wameweza fanikisha suala hili la kijana huyo kuokoa Watanzania wengine. Hizi zote ni juhudi za Serikali yetu ya CCM katika kujali maisha ya Watanzania.