Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Watanzania tambueni haya kuhusu DPW:-
Eneo lihitajilo wafanyakazi 100 kwa kawaida Dubia Port hupunguza na kubaki 2 pekee hii ni kwa sababu ya mifumo ya TEHAMA.
Tarajieni CEO na wasaidizi wake wahindi kama ilivyo mahali pengine palipo wao.
Wenye maroli wajiandae kulia maana wale CEO's wa DPW hununua maroli yao na kuyapa upendeleo kwenye kupakia na kushusha shehena. Rejea pale Rwanda, wana maroli yao na hupewa kipaumbele.
Huajiri bila upendeleo wa ki dini kwao ni ujuzi wako tu. Mifumo yao ya kiulinzi ni ya kisasa na usitarajie utaiba na kufanikiwa.
Ni Taasisi inayojiendesha Kisasa na kwao usafi eneo la kazi ndiyo kipaumbele namba moja.
Ni kampuni inayolalamikiwa kuongoza kwa kutoa rushwa popote pale ilipo ulimwenguni na kwalo ina migogoro isiyoisha hasa kwa Afrika. Ilishawahi kufukuzwa Marekani, Kenya, Somalia na hata Djibouti.
NB: DP World ni waumini wa kupunguza wafanyakazi kwa sababu hutumia mifumo ya kisasa kuendesha bandari zao wanasiasa wasiwadanganye eti ajira zitakuwa lukuki!
Eneo lihitajilo wafanyakazi 100 kwa kawaida Dubia Port hupunguza na kubaki 2 pekee hii ni kwa sababu ya mifumo ya TEHAMA.
Tarajieni CEO na wasaidizi wake wahindi kama ilivyo mahali pengine palipo wao.
Wenye maroli wajiandae kulia maana wale CEO's wa DPW hununua maroli yao na kuyapa upendeleo kwenye kupakia na kushusha shehena. Rejea pale Rwanda, wana maroli yao na hupewa kipaumbele.
Huajiri bila upendeleo wa ki dini kwao ni ujuzi wako tu. Mifumo yao ya kiulinzi ni ya kisasa na usitarajie utaiba na kufanikiwa.
Ni Taasisi inayojiendesha Kisasa na kwao usafi eneo la kazi ndiyo kipaumbele namba moja.
Ni kampuni inayolalamikiwa kuongoza kwa kutoa rushwa popote pale ilipo ulimwenguni na kwalo ina migogoro isiyoisha hasa kwa Afrika. Ilishawahi kufukuzwa Marekani, Kenya, Somalia na hata Djibouti.
NB: DP World ni waumini wa kupunguza wafanyakazi kwa sababu hutumia mifumo ya kisasa kuendesha bandari zao wanasiasa wasiwadanganye eti ajira zitakuwa lukuki!