wanaotutendea mabaya, wanaotutesa,
wanaotuua,wanaotuibia, wanaotudhulumu haki zetu, wanaotufunga bila hatia…..
Upande wa pili wa shilingi watu hao hao wanawatendea mema
watu wengine, wanasaidia yatima, wanawawezesha wajane, wanajenga nyumba za ibada na kutoa sadaka zinazoendesha nyumba hizo, wanawapa mitaji vijana, wanawatendea haki na kuwasaidia watu wengine wengi tu🤷🏿
See the problem?👆
So tunapowakemea watu hawa, tunapowachukia, tunapowalaani na kuwaombea mabaya, laana zetu zinakutana na dua za watoto yatima na masikini waliotendewa wema na watu hao!!
See the problem?☝️
Na unakuta hata sisi tunaoonewa na kuwanenea mabaya watu hao, hata sisi hatujakamilika pia😁
Hata sisi kwa nafasi zetu tuna watu wengi hatuwatendei mema, tunatoa mimba (tunaua), tunaloga wenzetu tunawatia vilema vya akili vya maisha, tunaiba kama wao tu kwenye kazi zetu,tunatesa yatima tulioachiwa na dada na kaka zetu kwenye nyumba zetu, tunamnyima haki zake dada wa kazi, tunakuwa wabinafsi na wachoyo
hata kuwazidi wao….yani afadhali hata wao wana kundi kubwa wanalisaidia!!
See the problem?🤷🏿
INACHANGANYA EEE
wanaotuua,wanaotuibia, wanaotudhulumu haki zetu, wanaotufunga bila hatia…..
Upande wa pili wa shilingi watu hao hao wanawatendea mema
watu wengine, wanasaidia yatima, wanawawezesha wajane, wanajenga nyumba za ibada na kutoa sadaka zinazoendesha nyumba hizo, wanawapa mitaji vijana, wanawatendea haki na kuwasaidia watu wengine wengi tu🤷🏿
See the problem?👆
So tunapowakemea watu hawa, tunapowachukia, tunapowalaani na kuwaombea mabaya, laana zetu zinakutana na dua za watoto yatima na masikini waliotendewa wema na watu hao!!
See the problem?☝️
Na unakuta hata sisi tunaoonewa na kuwanenea mabaya watu hao, hata sisi hatujakamilika pia😁
Hata sisi kwa nafasi zetu tuna watu wengi hatuwatendei mema, tunatoa mimba (tunaua), tunaloga wenzetu tunawatia vilema vya akili vya maisha, tunaiba kama wao tu kwenye kazi zetu,tunatesa yatima tulioachiwa na dada na kaka zetu kwenye nyumba zetu, tunamnyima haki zake dada wa kazi, tunakuwa wabinafsi na wachoyo
hata kuwazidi wao….yani afadhali hata wao wana kundi kubwa wanalisaidia!!
See the problem?🤷🏿
INACHANGANYA EEE