Na wewe njoo Dar ili tuone kama utakuwa unatuma hela nyumbani!

Na wewe njoo Dar ili tuone kama utakuwa unatuma hela nyumbani!

Popote unapobadilisha mazingira, kama mazingira mapya hayakupi unafuu wala mwanga, baki na mazingira asilia.
 
Nilipokua mdogo nilidhani wanaoishi Dar wanamahela, kumbe kunawanaoshindwa hata kumudu milo mitatu vizuri..ni mwendo wa kupiga pasi ndefu 😜😜
 
Elewa nilichaondoka sio unakurupuka neno "sembuse" kaangalie lina maana gani ? na jinsi linatumika then njoo tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]relaaaax sasa mzee hatulipwi hapaa..

Bila hata kuangalia popote Nijuavyo sembuse inatumika katika mazingira ya kuonesha kuwezekana/kutowezekana kwa jambo au kitu kikubwa/kidogo kwa kulinganisha na kuwezekana/kutowezekana na kingine kikubwa/kidogo, na namna maana nyingne yoyote inayoendana na hiyo..

Badala wake unaweza weka,
.....ilihali....., .....ndio iwe.... n.k

mfano..
"Watu wapo New york wanatuma hela ilihali/ndio iwe we wa mbagala rangi3".

Yaani
Watu waliopo NY waweze kutuma hela wewe wa mbagala ndio usiweze..?..

Sasa hapa ni yupi tunaamini anapaswa kua wa kwanza?

Naomba nikuulize, NY na DSM(mbagala) wapi pana unafuu wa maisha?
Ni wapi tunaimani kuna watu wenye unafuu wa maisha?

Yaani kwa kauli yako sio tuu kama umeifananisha Dar na NY ila umeiweka NY chini ya Dar,

Ungeandika "Watu wapo Mbagala rangi3 wanatuma hela sembuse we wa mbagala New York"?,

Sasa kwa kua mada inazungumzia Dar, basi LABDA ingekua sehemu nyingne iliyo chini ya dar.

Labda unisaidie maana ya Sembuse nisiyoijua nikuelewe mzee baba.
 
Kutuma hela home ni moyo wa mtu nina marafiki wawili wanajiweza vizuri tu ila mmoja wao mama yake alishanitafuta na kutaka kujua nn kinaendelea mwanae hakumbuki nyumbani na cha ajabu mwamba sio mtu wa mademu wala pombe ila anabet sana na anapiga mishindo ya maana yeye kuweka 100k au 200k kawaida analiwa au ashindue mshiko mpka 10m ila home hapakumbuki na akipakumbuka katuma 100k.

Kwahyo walioko mikoani waje wapambanie kombe wakipata ni juu yao kutuma au kutotuma
 
Kutuma hela home ni moyo wa mtu nina marafiki wawili wanajiweza vizuri tu ila mmoja wao mama yake alishanitafuta na kutaka kujua nn kinaendelea mwanae hakumbuki nyumbani na cha ajabu mwamba sio mtu wa mademu wala pombe ila anabet sana na anapiga mishindo ya maana yeye kuweka 100k au 200k kawaida analiwa au ashindue mshiko mpka 10m ila home hapakumbuki na akipakumbuka katuma 100k.

Kwahyo walioko mikoani waje wapambanie kombe wakipata ni juu yao kutuma au kutotuma
UMEMALIZA, MODS FUNGA UZI.
 
Nilipokua mdogo nilidhani wanaoishi Dar wanamahela, kumbe kunawanaoshindwa hata kumudu milo mitatu vizuri..ni mwendo wa kupiga pasi ndefu [emoji12][emoji12]
Yaan acha tyuuh kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]relaaaax sasa mzee hatulipwi hapaa..

Bila hata kuangalia popote Nijuavyo sembuse inatumika katika mazingira ya kuonesha kuwezekana/kutowezekana kwa jambo/kitu kikubwa/kidogo kwa kulinganisha na kuwezekana/kutowezekana na kingine kikubwa/kidogo, na namna maana nyingne yoyote inayoendana na hiyo..

Badala wake unaweza weka,
.....ilihali....., .....ndio iwe.... n.k

mfano..
"Watu wapo New york wanatuma hela ilihali/ndio iwe we wa mbagala rangi3".

Yaani
Watu waliopo NY waweze kutuma hela wewe wa mbagala ndio usiweze..?..

Sasa hapa ni yupi tunaamini anapaswa kua wa kwanza?

Naomba nikuulize, NY na DSM(mbagala) wapi pana unafuu wa maisha?
Ni wapi tunaimani kuna watu wenye unafuu wa maisha?

Yaani kwa kauli yako sio tuu kama umeifananisha Dar na NY ila umeiweka NY chini ya Dar,

Ungeandika "Watu wapo Mbagala rangi3 wanatuma hela sembuse we wa mbagala New York"?,

Sasa kwa kua mada inazungumzia Dar, basi LABDA ingekua sehemu nyingne iliyo chini ya dar.

Labda unisaidie maana ya Sembuse nisiyoijua nikuelewe mzee baba.
Sielewi ulichaondika unazunguka sana😅😅..
Nakuelewesha ana maanisha kwanza Dar kuna maisha ya hanasa na ya juu sana yaani unaweza kupata pesa yote ikaisha hii ni dhidi ya mikoa yote ya Tanzania...Kwamba Dar unapata pesa ila still matumizi ni makubwa na gharama za maisha.

Unaijua gharama za maisha ya New york wangapi wanaishi huko miaka hata 10 ila pesa hawatumi bongo..Sio kwamba hawazipati ila wanatumia gharama za maisha zipo juu.


New york ina gharama za maisha ya juu kuliko Dar unaweza kuwa unapata $3,000 kwa mwezi ila ikaisha yote kweny matumizi na usitume kwenu ila hyo pesa ukipata ukiwa dar ni ndefu hata kujenga kwenu fasta ..

"sembuse" kuonyesha kitu fulani ni dhaifu dhidi ya mwenzie .katika gharama za maisha Dar ni dhaifu dhidi ya Ne York (kuna maisha ya gharama sana)
 
Back
Top Bottom