Naacha chuo kwa muda, naenda Sumbawanga kujifunza uganga

Naacha chuo kwa muda, naenda Sumbawanga kujifunza uganga

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2020
Posts
1,634
Reaction score
3,833
Habari JF,

Baaada ya maisha ya chuo kuwa magumu hapa Dar es Salaam, sasa nimeamua kupostpone masomo mpaka second semester Next Year, pia nimepostpone pesa HESLB mpaka Next Year.

Ajira hakuna, so chuo ntamalizia mwakani, Ila kwa sasa naenda kujifunza uganga short course miezi 6.

Babu yangu alikuwa anapigana na mama ili niwe mganga ila nimeamua kwenda kujifundisha ili nianze safari ya kujiajiri.

Ila nataka kuwa mganga wa kimataifa mana mpaka sasa nina certificate ya kula viumbe mbalimbali wakiwa hai kama.

Konokono
Jongoo
Kinyonga
Paka na kenge

Nataka kuwa mchawi mkubwa na mganga mwenye pesa.

Ntaleta mrejesho.
 
Unaacha Chuo kwenda Chuoni; Sio mbaya its all about knowledge so long as ujuzi wako usiwe kero / hasara kwa jamii inayokuzunguka....

Thinking again Uganga wako utaleta tija ipi kwa jamii inayokuzunguka apart from kujinufaisha wewe kiuchumi ? (Isijekuwa unaenda kujifunza utapeli)
 
All the best mkuu but usisahau kwenda Gambosi kumalizia PHD yako utakua vizur sana...
Usijari huu ni mwanzo tu.
Ila uhakika...nikimaliza mwaka wa tatu Nataka kwenda Nigeria kuchukua ufundi.
 
Back
Top Bottom