Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Habari JF,
Baaada ya maisha ya chuo kuwa magumu hapa Dar es Salaam, sasa nimeamua kupostpone masomo mpaka second semester Next Year, pia nimepostpone pesa HESLB mpaka Next Year.
Ajira hakuna, so chuo ntamalizia mwakani, Ila kwa sasa naenda kujifunza uganga short course miezi 6.
Babu yangu alikuwa anapigana na mama ili niwe mganga ila nimeamua kwenda kujifundisha ili nianze safari ya kujiajiri.
Ila nataka kuwa mganga wa kimataifa mana mpaka sasa nina certificate ya kula viumbe mbalimbali wakiwa hai kama.
Konokono
Jongoo
Kinyonga
Paka na kenge
Nataka kuwa mchawi mkubwa na mganga mwenye pesa.
Ntaleta mrejesho.
Baaada ya maisha ya chuo kuwa magumu hapa Dar es Salaam, sasa nimeamua kupostpone masomo mpaka second semester Next Year, pia nimepostpone pesa HESLB mpaka Next Year.
Ajira hakuna, so chuo ntamalizia mwakani, Ila kwa sasa naenda kujifunza uganga short course miezi 6.
Babu yangu alikuwa anapigana na mama ili niwe mganga ila nimeamua kwenda kujifundisha ili nianze safari ya kujiajiri.
Ila nataka kuwa mganga wa kimataifa mana mpaka sasa nina certificate ya kula viumbe mbalimbali wakiwa hai kama.
Konokono
Jongoo
Kinyonga
Paka na kenge
Nataka kuwa mchawi mkubwa na mganga mwenye pesa.
Ntaleta mrejesho.