Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifua ninacho Mkuu.KILA la kheri una kifua lakini, maana uganga ni ujasiliamali kama mwingine changamoto hazikosekani
SawaNijaribie hata saiv dokta
Kama kuna waganga means vyuo vipoSumbawanga kuna chuo cha uganga?
Zipo nyingi tu tena toka vyuo mbalimbali dunianiHawafanyi online studies?
Bila kipaji huweziSafi huko utajipigia hela sana
Jaribu pia uchungaji....unabii pia
Kati ya hizo 2,maana wajinga ni wengi
Sana bado
Ova
Usijari kabisa! Hata mimi natafuta hilo.Ukimaliza masomo unijuze namna ya kuwa tajiri kwa kutumia ulimwengu wa roho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nadhani moderator watafanya hivyoUngerekebisha kichwa cha habari cha uzi kwamba umebadilisha kozi kwa muda na kwenda kusomea shoti kozi ya uganga
Unasemaje wewe???
Aisee ntakutumia kibom cha kuharisha soon.
Hata kama upo ofisini.
ukifanikiwa loga mbususu zote za jfHabari JF,
Baaada ya maisha ya chuo kuwa magumu hapa Dar es Salaam, sasa nimeamua kupostpone masomo mpaka second semester Next Year, pia nimepostpone pesa HESLB mpaka Next Year.
Ajira hakuna, so chuo ntamalizia mwakani, Ila kwa sasa naenda kujifunza uganga short course miezi 6.
Babu yangu alikuwa anapigana na mama ili niwe mganga ila nimeamua kwenda kujifundisha ili nianze safari ya kujiajiri.
Ila nataka kuwa mganga wa kimataifa mana mpaka sasa nina certificate ya kula viumbe mbalimbali wakiwa hai kama.
Konokono
Jongoo
Kinyonga
Paka na kenge
Nataka kuwa mchawi mkubwa na mganga mwenye pesa.
Ntaleta mrejesho.
Vizuri mkuu huko unaenda masomoni na ukirudi utuambie ili tuweze kuangalia namna ya kushirikiana na wewe
Sawa! Ila wewe utakuwa mfano.Wewe Uganga huuwezi,, utakuja liwa kiboga huko....
Unaonekana una Jazba sana,,, sasa kama huwezi kutuliza mashono bora uachane na hizo habari..
Uza juice ya Miwa utatoboa
Haya.Vizuri mkuu huko unaenda masomoni na ukirudi utuambie ili tuweze kuangalia namna ya kushirikiana na wewe
weweee usitishe watu nyie ndo mnatafuta attention jfSawa! Ila wewe utakuwa mfano.
Kuna yale makombola ya mbali aisee kaa mkao wa kula
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app