Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Babu yangu mmoja hivi ni mganga na mwanga sasa anahitaji kunipa vikoba.Sumbawanga kuna chuo cha uganga?
Kijana tuheshimiane ntaifanyia field Familia yako.Umemaliza boom unaanza kuwaza kwa kutumia matacle
Hivi kwanini msiwaloge maadui wetu wa siku nyingi...Babu yangu mmoja hivi ni mganga na mwanga sasa anahitaji kunipa vikoba..
So ananifundsha kwa practice
Vipi nikifika nikujaribie?
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Usijari huu ni mwanzo tu.All the best mkuu but usisahau kwenda Gambosi kumalizia PHD yako utakua vizur sana...
Maradhi _ tiba zipo ntatibuHivi kwanini msiwaloge maadui wetu wa siku nyingi...
Maladhi, Ujinga na Umasikini ?
Utatibu ? Kwahio wewe na wenzako mmeshindwa kazi.., sababu haya matatizo hayajawahi kuisha.., sanasana mnatibu umasikini wenu kwa kuchukua pesa za wadauMaradhi _ tiba zipo ntatibu
Umasikini Tiba ipo kabisa mana hata mm nataka kuwa TAJIRI ivo
SawaUtatibu ? Kwahio wewe na wenzako mmeshindwa kazi.., sababu haya matatizo hayajawahi kuisha.., sanasana mnatibu umasikini wenu kwa kuchukua pesa za wadau
Unasemaje wewe???Potelea mbali...wewe nenda tu
Nijaribie hata saiv doktaBabu yangu mmoja hivi ni mganga na mwanga sasa anahitaji kunipa vikoba..
So ananifundsha kwa practice
Vipi nikifika nikujaribie?
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app