Naacha chuo kwa muda, naenda Sumbawanga kujifunza uganga

KILA la kheri una kifua lakini, maana uganga ni ujasiliamali kama mwingine changamoto hazikosekani
 
Unasemaje wewe???
Aisee ntakutumia kibom cha kuharisha soon.
Hata kama upo ofisini.

Wewe Uganga huuwezi,, utakuja liwa kiboga huko....

Unaonekana una Jazba sana,,, sasa kama huwezi kutuliza mashono bora uachane na hizo habari..

Uza juice ya Miwa utatoboa
 
ukifanikiwa loga mbususu zote za jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…