Naacha Ugimbi nabaki na Ganja

Naacha Ugimbi nabaki na Ganja

IMG_20210828_091029_629.jpg
 
HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA.

Wewe sio wa kwanza kuacha pombe, ILA HONGERA SANA KWA WAZO LAKO MAANA WENGI HAWANA WAZO KAMA LAKO.


ACHA NA Kaya.. Tubu na urejeeee kwa Muumba wako..
 
Nimeona iwe hivyo ... Nimejipima miaka 21 ya kupiga mneli na miaka 18 ya ugimbi mara zote naharibu nikiwa ugimbi ... Nabaki na mneli
Matumizi ya hivi vitu matokeo yake huwa yanategemea na kiwango cha busara ulichonacho(kichwa).

Ila kati ya ugimbi(wanzuki) na bangi... bora ugimbi maana ugimbi unavirutubisho+maji+ATP vinaweza kujenga mwili, ila bangi hamna kitu pale ni moshi(CO2) tu na stimulant zinazoharibu afya ya ubongo.

Kwa uzoefu wako umeona bangi ina vibe zaidi 👍🏾. Kupanga nikuchagua.

Hivi vitu madhara yake ni chronic... kidogo kidogo huwezi kushtukia baada ya miongo 2-3 > utakutana na shida ukichunguza ni hivi vitu. Anyway kufa tutakufa tu 😂.
 
Matumizi ya hivi vitu matokeo yake huwa yanategemea na kiwango cha busara ulichonacho(kichwa).

Ila kati ya ugimbi(wanzuki) na bangi... bora ugimbi maana ugimbi unavirutubisho+maji+ATP vinaweza kujenga mwili, ila bangi hamna kitu pale ni moshi(CO2) tu na stimulant zinazoharibu afya ya ubongo.

Kwa uzoefu wako umeona bangi ina vibe zaidi 👍🏾. Kupanga nikuchagua.

Hivi vitu madhara yake ni chronic... kidogo kidogo huwezi kushtukia baada ya miongo 2-3 > utakutana na shida ukichunguza ni hivi vitu. Anyway kufa tutakufa tu 😂.
Daaah
 
Back
Top Bottom