Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Mmelala? Basi amkeni tutete hili, nina mwanamke niko nae katika mahusiano, amepanga na mie naishi kwangu. Kiuhalisia hali yake kiuchumi haiko poa hivyo tangu niwe nae nimekuwa najitahidi sana asijihisi yuko peke yake hasa kiuchumi.
Wakati naanza nae alikuwa anafumga nywele miezi hata 4 bila kusuka lakini nilihakikisha kila baada ya wiki 2 anasuka, alikuwa anarudia rudia sana nguo nikawa nampa bajeti aende shopping, SASA NIMEKUWA NIKIMNUNULIA ZAWADI NA KILA NIKIMPA LAZIMA AULIZE BEI YAKE.
Ukileta mkoba, leta Simu majuzi hapa, hadi nilimtoa out akataka ajue bili ilikuwa bei gani. Kiukweli nimemchoka na nakata kauli kama ataendelea kuniuliza uliza bei ntamuacha. Nimeshamwambia kimafumbo nasubiri nione kama kichwa cha kuku kitabeba mzigo.
Wakati naanza nae alikuwa anafumga nywele miezi hata 4 bila kusuka lakini nilihakikisha kila baada ya wiki 2 anasuka, alikuwa anarudia rudia sana nguo nikawa nampa bajeti aende shopping, SASA NIMEKUWA NIKIMNUNULIA ZAWADI NA KILA NIKIMPA LAZIMA AULIZE BEI YAKE.
Ukileta mkoba, leta Simu majuzi hapa, hadi nilimtoa out akataka ajue bili ilikuwa bei gani. Kiukweli nimemchoka na nakata kauli kama ataendelea kuniuliza uliza bei ntamuacha. Nimeshamwambia kimafumbo nasubiri nione kama kichwa cha kuku kitabeba mzigo.