Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Una akili mtu wangu
Asante dear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una akili mtu wangu
Kimbia haraka sana. Hapo anataka ajue uwezo wako kifedha aanze kukupiga mizinga mizito mizito, na utakapomwambia hauna atasema humhudumii na humpendi. Kimsingi kuna wanawake hawaridhiki na wanachopewa.Mmelala? Basi amkeni tutete hili, nina mwanamke niko nae katika mahusiano, amepanga na mie naishi kwangu. Kiuhalisia hali yake kiuchumi haiko poa hivyo tangu niwe nae nimekuwa najitahidi sana asijihisi yuko peke ake hasa kiuchumi.
Wakati naanza nae alikuwa anafumga nywele miezi hata 4 bila kusuka lakini nilihakikisha kila baada ya wiki 2 anasuka, alikuwa anarudia rudia sana nguo nikawa nampa bajeti aende shopping, SASA NIMEKUWA NIKIMNUNULIA ZAWADI NA KILA NIKIMPA LAZIMA AULIZE BEI YAKE.
Ukileta mkoba, leta Simu majuzi hapa, hadi nilimtoa out akataka ajue bili ilikuwa bei gani. Kiukweli nimemchoka na nakata kauli kama ataendelea kuniuliza uliza bei ntamuacha. Nimeshamwambia kimafumbo nasubiri nione kama kichwa cha kuku kitabeba mzigo.
Kumbe kuna watu bado mnawaza nje ya box. Kuna wapuuzi wanamwambia amuoe haraka eti anamfaaAfadhali umestuka mkuu akikuuliza tena piga chini,Kwa tuliosomea kyuba hiyo ni intelijensia ya kufahamu akaunti inasomaje,ajipange Kwa mizinga ya hapa na pale.
[emoji3447]Kimsingi hii tabia ipo kwa wanawake ambao anakudharau ila hajataka kukwambia maana hayupo katika mazingira ya kukuzingua.
Yaani ni wale "Broke miss independent", anatamani sana kumudu gharama zake mwenyewe ila hana huo uwezo kwasasa. Unavyomnunulia vitu yeye akili yake inamwambia kuwa unamnunua au unataka kum'miliki kwahiyo hiyo kukuuliza bei za vitu ni njia ya kujihami na kutaka kujua umetumia kiasi gani kwake.
Kuna possibility kubwa baadae akipata uwezo aje kukwambia umetumia kiasi fulani kwangu so usinibabaishe.
Hii sampuli nina ifahamu.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Halafu eti anatuamsha kabisa….
Sasa yeye kapanga wewe unaishi kwak
Kidogo inaniingia maana nimeajiriwa na nina biashara ambayo yeye hafamu, anajua tu nimeajiriwa pekee, mda wote anaonaga pochi nene nahisi atakuwa anajiuliza huyu mtu ana mshahara gani mwazo mpaka mwisho wa mwezi amejaa pesa. Nitaweka mtego nione hili.Afadhali umestuka mkuu akikuuliza tena piga chini,Kwa tuliosomea kyuba hiyo ni intelijensia ya kufahamu akaunti inasomaje,ajipange Kwa mizinga ya hapa na pale.
Uko sahihi hua wanazingua sanaKimsingi hii tabia ipo kwa wanawake ambao anakudharau ila hajataka kukwambia maana hayupo katika mazingira ya kukuzingua.
Yaani ni wale "Broke miss independent", anatamani sana kumudu gharama zake mwenyewe ila hana huo uwezo kwasasa. Unavyomnunulia vitu yeye akili yake inamwambia kuwa unamnunua au unataka kum'miliki kwahiyo hiyo kukuuliza bei za vitu ni njia ya kujihami na kutaka kujua umetumia kiasi gani kwake.
Kuna possibility kubwa baadae akipata uwezo aje kukwambia umetumia kiasi fulani kwangu so usinibabaishe.
Hii sampuli nina ifahamu.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app