Naachana na mpenzi wangu kisa bei

Kimbia haraka sana. Hapo anataka ajue uwezo wako kifedha aanze kukupiga mizinga mizito mizito, na utakapomwambia hauna atasema humhudumii na humpendi. Kimsingi kuna wanawake hawaridhiki na wanachopewa.

Mtu unajitahidi umjali unambadilisha awe super ila wapi. Kwakua umemwambi kimafumbo anaweza change ila niamini man tabia ni ngozi itakuja kurudi baadae sana na inawezekana mkawa mmeshafika mbali kimaisha na kumwacha ni ngumu.

Wadada ridhikeni na mnachopewa, sio kila muda unataka zaidi. Hakuna mwanaume hataki muhudumia mtu wake tatizo lenu tamaa mbele
 
Afadhali umestuka mkuu akikuuliza tena piga chini,Kwa tuliosomea kyuba hiyo ni intelijensia ya kufahamu akaunti inasomaje,ajipange Kwa mizinga ya hapa na pale.
Kumbe kuna watu bado mnawaza nje ya box. Kuna wapuuzi wanamwambia amuoe haraka eti anamfaa
 
[emoji3447]
 
Wanaume wazidi kupungua
Yaan umpige chini kisa kuuliza bei?
 
Sasa yeye kapanga wewe unaishi kwak

Afadhali umestuka mkuu akikuuliza tena piga chini,Kwa tuliosomea kyuba hiyo ni intelijensia ya kufahamu akaunti inasomaje,ajipange Kwa mizinga ya hapa na pale.
Kidogo inaniingia maana nimeajiriwa na nina biashara ambayo yeye hafamu, anajua tu nimeajiriwa pekee, mda wote anaonaga pochi nene nahisi atakuwa anajiuliza huyu mtu ana mshahara gani mwazo mpaka mwisho wa mwezi amejaa pesa. Nitaweka mtego nione hili.
 
Uko sahihi hua wanazingua sana
 
Muulize kwa nini unapenda kuuliza bei ya zawadi nakuletea huku unamuangalia usoni, utaweza kupata jibu la uhakika kama anadanganya utaona tu reaction yake kwenye uso wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…