Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Aisee!!! Mkuu hii umeona ndo namna bora ya kutangaza biashara yako!? Kwanini usipandishe picha na kuweka bei ya kila kilichopo!?Najua tupo humu tunaohitaji kuanza maisha so kwa yeyote anaehitaji kuanza maisha anicheki chapu nna siku mbili leo na kesho kufanya haya maamuzi nataka kubadilisha mkoa wa kwenda kuishi.
Chumba changu kimebakisha mwezi mmoja wa kodi location ni Ukonga na maeneo ni tulivu kabisa na kipo barabarani ndani ya geti hakuna sifa ya udokozi.
Nauza kila kilichopo ndani.
Karibuni
Picha ya hivyo vitu tuje kuchaguaNajua tupo humu tunaohitaji kuanza maisha so kwa yeyote anaehitaji kuanza maisha anicheki chapu nna siku mbili leo na kesho kufanya haya maamuzi nataka kubadilisha mkoa wa kwenda kuishi.
Chumba changu kimebakisha mwezi mmoja wa kodi location ni Ukonga na maeneo ni tulivu kabisa na kipo barabarani ndani ya geti hakuna sifa ya udokozi.
Nauza kila kilichopo ndani.
Karibuni
Kapicha mzeee alafu jumla unataka kiasi gani na mie nipate gheto mjini hukoNajua tupo humu tunaohitaji kuanza maisha so kwa yeyote anaehitaji kuanza maisha anicheki chapu nna siku mbili leo na kesho kufanya haya maamuzi nataka kubadilisha mkoa wa kwenda kuishi.
Chumba changu kimebakisha mwezi mmoja wa kodi location ni Ukonga na maeneo ni tulivu kabisa na kipo barabarani ndani ya geti hakuna sifa ya udokozi.
Nauza kila kilichopo ndani.
Karibuni
We umeona mil 4, mi nilijua mil 40.Milioni 4 Huwezi kupata mteja, ni ghali Sana mkuu
Ni wapi alipoandika Mil 4 mkuu, au macho yangu yana matatizo?Milioni 4 Huwezi kupata mteja, ni ghali Sana mkuu
Ntumie picha
Hiyo hela ni nyingi sana kwa hivyo vitu upo navyo
Picha hata Mbili mdogo wetu
Aisee!!! Mkuu hii umeona ndo namna bora ya kutangaza biashara yako!? Kwanini usipandishe picha na kuweka bei ya kila kilichopo!?
Kila nikichungulia andishi, siioni hiyo mil. 4 alipoitaja!Milioni 4 Huwezi kupata mteja, ni ghali Sana mkuu
Weka picha za kutosha mazingira ya nje na ya ndani.