Naahidi Yanga ikibeba kombe la losers kule Algeria nitamnunulia kila Mtanzania vocha ya Tsh. 10,000/=

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Fa masihara nini, mroge msiroge mwarabu kashabeba ubingwa, naahidi na tayari mzigo uko benki. Endapo mtafanikiwa kuwaadhibu waarabu kwao na kubeba ubingwa, siku hiyo ya jumamosi gemu ikiisha tu natuma vocha ya shs 10,000 kwa kila mtanzania kama ahadi.

Nimeshaongea na Tigo, Vodacom, Airtel na Halotel wameahidi kunipa ushirikiano, kesho naenda NBS - National Bureau of Statistics kuomba idadi ya watu hapa Bongo ili nifanye calculations.

Ahadi ni deni, nitatimiza.
 
Fa masihara nini, mroge msiroge mwarabu kashabeba ubingwa, naahidi na tayari mzigo uko benki. Endapo mtafanikiwa kuwaadhibu waarabu kwao na kubeba ubingwa...
Sawa miye niandalie ya elfu kumi ya voda
 
Fa masihara nini, mroge msiroge mwarabu kashabeba ubingwa, naahidi na tayari mzigo uko benki. Endapo mtafanikiwa kuwaadhibu waarabu...
kabla ya yote... ukweli tunao, acha 10k ata ingekuwa 100 kwa kila mtz, una iyo hela faa masikhara nini...
 
Kama ni shughuli tu safari hii mumeipata.
 
Yani kila uzi unaohusu Yang'a ukisoma comments za wana Yang'a unajikuta unatabasamu maana zinafurahisha mnoo zina hasira kali sana ndani yake.... 😆 😆 😆 😆
 
Yani kila uzi unaohusu Yang'a ukisoma comments za wana Yang'a unajikuta unatabasamu maana zinafurahisha mnoo zina hasira kali sana ndani yake.... [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Na ukijichanganya unakula matusi mazito[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa wana strees na wakitoka huko kwa muarabu utasikia hatumtaki nabi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na ukijichanganya unakula matusi mazito[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa wana strees na wakitoka huko kwa muarabu utasikia hatumtaki nabi[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani kaa nao mbali...nimeona mpk nimepoteza marafiki naowapenda humu kisa wamemaindi navyowasema jamani 🤣🤣😭😭😭
 
Yani kaa nao mbali...nimeona mpk nimepoteza marafiki naowapenda humu kisa wamemaindi navyowasema jamani [emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tupo marafiki wengi humu usijali....... ila lazima wapigwe nyingi, hawa jamaa wao wanajua kucheka wenzao, zamu yao imefika tukicheka wasema sio wazalendo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bundle la kuingia JF unatumia Tigo niwezeshe halafu ndio unakuja kukata mauno hapa?

Changia timu yako isajili wachezaji bora kama wa Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…