Naambiwa ana mimba yangu

Naambiwa ana mimba yangu

Umelengeshwa sasa aza kuandaa vikao tu mkuu hujiulizi why ndoa za siku hizi bibi harusi wanakuwa na vitAMBI? inawezekana siku uliyokutana nae akasema yuko mwezini ndo ilikuwa siku ya kumaliza hedhi.imagine labda huwa anatumia for six days.so lazima siku mliyopeana uroda ilikuwa ya kumi na lazima awe baby boy huyo.
 
hivi huyu dada kama ilikuwa ni pass time kwa nini unapiga kavukavu hata kama mlipima.aaah amekulengesha sasa ulinywe si ulilikoroga

We first lady vipi? Kesha kuambia alishapima na lengo ni ku-enjoy to the fullest. Inamaana hujui kwamba ukila pipi yenyewe bila karatasi ni tamu kuliko ikiwa kwenye pack yake? We vipi bana!
 
Wana JF ndugu yetu anaomba ushauri hivyo basi ni jukumu letu kufanya hivyo na siyo kumcheka na kumdhihaki. Reaction yake kuhusu hilo ni typical kwa wanaume na wengi limetukuta hasa kwa wale ambao hawapendi kuzaa bila mpangilio[kuzaa na hawara/kimada] na pia hawapendi sx [tupo wengi pia].
Ushauri wangu ni kuwa hiyo system uliyokuwa unaitumia siyo 100% safe hivyo uwezekano wa hiyo mimba upo ila kwa asilimia ngapi ndipo tofauti zinapojitokeza
nimejaribu kuulizia na kuperuz kwenye mitandao kuhusu hilo na majibu yanafanana.
nakudakisha sehemu tu ya wasemayo yaliyowakuta kama wewe:

Q Can you get pregnant from intercourse after ovulation?


yes,you can get pregnant after ovulation. There is a 25% chance of getting pregnant during ovulation,and a 5% chance when not ovulating.
Answer


The egg does not survive for more than 24 hours after ovulation unless conception has occurred. If conception has taken place, then it takes approximately 7-10 days for the fertilized egg to travel down the fallopian tubes and into the uterus where implantation follows. Shortly after implantation your body starts to produce hCG which should double every 2-3 days. This is why it takes so many days after ovulation for a pregnancy to be confirmed. Different pregnancy tests detect different levels of hCG (from 20mIU to 100mIU) unfortunately most don't specify on the package what those levels are.
If you have intercourse more than 24 hours after ovulation has occurred you will not get pregnant. However, you should wait two days after ovulation just to be safe, because it is near impossible to determine the exact time of ovulation. You should research the FAM (fertility awareness method). It's a wonderful, accurate way of determining your fertility for both conception and prevention purposes. Read TCOYF (Taking Charge Of Your Fertility) by Toni Weschler. Fantastic book.
Answer


After you ovulate, your egg stays fertile for up to one day and sperm can live in your body for up to five days.
Answer


Timing of sexual intercourse in relation to ovulation. Effects on the probability of conception, survival of the pregnancy, and sex of the baby.
Wilcox AJ, Weinberg CR, Baird DD.
Epidemiology Branch, National Institute of Environmental Health Sciences, Research Triangle Park, N.C. 27709, USA.
BACKGROUND. The timing of sexual intercourse in relation to ovulation strongly influences the chance of conception, although the actual number of fertile days in a woman's menstrual cycle is uncertain. The timing of intercourse may also be associated with the sex of the baby. METHODS. We recruited 221 healthy women who were planning to become pregnant. At the same time the women stopped using birth-control methods, they began collecting daily urine specimens and keeping daily records of whether they had sexual intercourse. We measured estrogen and progesterone metabolites in urine to estimate the day of ovulation. RESULTS. In a total of 625 menstrual cycles for which the dates of ovulation could be estimated, 192 pregnancies were initiated, as indicated by increases in the urinary concentration of human chorionic gonadotropin around the expected time of implantation. Two thirds (n = 129) ended in live births. Conception occurred only when intercourse took place during a six-day period that ended on the estimated day of ovulation. The probability of conception ranged from 0.10 when intercourse occurred five days before ovulation to 0.33 when it occurred on the day of ovulation itself. There was no evident relation between the age of sperm and the viability of the conceptus, although only 6 percent of the pregnancies could be firmly attributed to sperm that were three or more days old. Cycles producing male and female babies had similar patterns of intercourse in relation to ovulation. CONCLUSIONS. Among healthy women trying to conceive, nearly all pregnancies can be attributed to intercourse during a six-day period ending on the day of ovulation. For practical purposes, the timing of sexual intercourse in relation to ovulation has no influence on the sex of the baby.
What this study says is that if you know for sure what day you are ovulating, you can only get pregnant if you have sex within 6 days before, or the day of (within 24 hours of ovulation). The problem is, it is difficult to know for sure without a proper hormone test. But, if you know for sure you have ovulated more than a day ago, then there is no way to get pregnant until 6 days before your next ovulation.
Answer


I am a medical student and the reproductive system is actually what we are examining right now. I had heard many rumors that you could get pregnant at anytime, but once I studied the reproductive system I didn't understand how this was possible. I thought I would clarify a few things that were posted. First of all you can not get pregnant if you are not ovulating. Each female has around 400,000 follicles (possible ovum) at birth. Prior to ovulation about 10-20 primordial follicles start to develop (inside the follicle one ovum develops), but usually only one egg ovulates, the rest are reabsorbed by the ovary. The ovaries take turns each month dropping only one egg. There are cases that 2 eggs drop this is where we see fraternal twins. This is common among women who are in early stages of menopause since their body is in a sense out of wack and dropped 2 eggs at undetermined times. The ovum only survives for 24 hours. So fertilization can only occur 24 hours after ovulation. This is the only time that you will have a developed egg to get fertilized. So without any eggs to be fertilized it is impossible to become pregnant. I have heard time and time again that it is possible to get pregnant anytime so I asked my professor who is a doctor about this. She told me that the reason people think this is because a lot of women do not know when they are ovulating or have miss calculated their ovulation. Also to clarify another comment that was left is that sperm can only live for 48 hours inside the female.
Most women's menses or have a menstrual cycle that last 28 days, but 21-35 days is common. This can change however if the female starts hanging around different females. The menstrual cycle usually changes to the oldest female's cycle. This is due to the female pheromones, but is still not fully understood. A women's menstrual cycle usually last 4-7 days during this she is sloughing off uterine endometrium and ovum this is what causes the bleeding this occurs when no fertilization has occurred. The next stage that occurs is the proliferating stage, during this stage the body is thickening the endometrium or uterine mucosal lining and develops glands and capillaries to ensure nourishment to the embryo also the ovum is being developed or matured. 14 days after the menstrual cycle has begun ovulation occurs. Next we have the secretory stage where the endometrial glands prepare the uterus for implantation by the fertilized ovum. If no fertilization occurs then the menstrual cycle will begin again. So to sum it up if you have a normal 28 day cycle then from the first day you start your menstrual cycle you will count 14 days, this will be the day you ovulate. Next you will could another 14 days and this will be the day your menstrual cycle will start again. I have calculate the exact day my menstrual cycle will start for as long as I can remember most of the time is accurate, but sometimes it is a few days off depending on my environment for example if I am around another female or have physical or mental stress.
I hope this helped clarify everything for everyone!

Answer
You can actually pretty much get pregnant at anytime. Some people have even gotten pregnant while on their period, though this is not common. It's always a good idea to get a home pregnancy test and try. Don't spend a bunch of money either, the store brand pregnancy test works just as well and my doctor has told me that all pregnancy tests work the same. If it comes up positive then you are pregnant but if it comes up negative there is still a chance that you might be pregnant and not have a high enough level of hCG in your system yet. You can test anytime after you conceived, even if it's not after a missed period. It's always good to test ...
Answer


No you can't. I know this for a fact because I had unprotected sex 4 days after my ovulation day. 2 weeks later i had a regular period, which was the usual 6 days for my cycle. my cycle lengths are irregular, meaning that i don't have the average 28 day schedule. it always happen around day 25, 26, 27,28 or 29, but i have periods once a month. they say that women who have irregular periods shouldn't worry so much. I know that every woman is different, but you can always tell when you are ovulating or not. The best method to see this is to check your vaginal mucus. if its slippery, clear, and the mucus is able to stretch when you pinch two fingers together, then it is best not to have sex, but if have a dry vaginal discharge that is very thick, and non-stretchable, then you have already ovulated and its getting close to ur next period. but you can also have a white discharge if you have an infection, STD, or vaginal cleansing because the vagina always cleanses itself, getting rid of any bacteria before and after your period.
Answer


If you had sex after ovulation and you know this, then the chances of you getting pregnant are slim.
As far as I know, the egg is viable for only maybe 24 hrs after ovulation. The best time to conceive is to have sex before ovulation, as the sperm, which survives longer 3-5 days, will be waiting for the egg.
It is possible to get pregnant in other parts of the cycle but this still depends upon ovulation. It is possible to get pregnant if you have sex during a period because the sperm will have survived high in the vagina for about 5 days and then you could be fertilized when ovulation has taken place.
Ovulation is meant to happen half way though a 28-day cycle, so this is 14 days. If your cycle is longer you need to count back 14 days from the first day of your period to predict ovulation.
Answer


You get pregnant when egg and sperm meet. The egg is released at ovulation and travels down the fallopian tube, through the uterus, and out. Sperm can live a short time in the uterus, thus you can get pregnant if the sperm is there to meet the egg on the way down. Similarly, the egg's travel takes a short while, so you can get pregnant if the egg is there to meet the sperm. But no egg, no pregnancy. It is not particularly difficult to tell when you are ovulating or getting ready to---the cervical mucus is more abundant, clear, and stringy. This mucus allows the sperm to swim freely. On non-fertile days when there is no egg there anyways, the mucus is scanty, cloudy, and tacky. You can tell the difference on toilet paper if you pay attention. You get fertile mucus for a few days before you ovulate, to assist sperm in getting past the cervix and into the womb. If you avoid making love during the fertile mucus times and for three days afterwards, you will not get pregnant. Alternatively, if you want to get pregnant, those days are your best bet. You can have fertile mucus more than once in your cycle.




The only 100% guarantee that you will not get pregnant is to not have sex.
Answer yes you can get pregenant

 
We first lady vipi? Kesha kuambia alishapima na lengo ni ku-enjoy to the fullest. Inamaana hujui kwamba ukila pipi yenyewe bila karatasi ni tamu kuliko ikiwa kwenye pack yake? We vipi bana!
Oooh kAMA ALITAKA KUZUIA MIMBA ANGEKUWA anamwaga nje au wangetumia contraception methods mbona zipo kibao.hajui kama hiyo ya kuhesabu ni unaweza jimix na kitu kikatinga any way maji alishayavulia nguo sasa ayaoge tu.na tena uitunze hiyo mimba siyo kumdhalilishA DADA WA WATU
 
Kwani ina miezi mingapi?yawezekana haijaingia cku hizo unazozidhani wewe,kwani mbegu yaweza kuishi siku2 na ikaja ikafertilize. mihim subiri bebii atoke ndo utake action, waweza itesa damu yk bure!
 
pata experience kwa mh.mahita ujue kilichompata,anagalia usije ukapelekwa kwa pilato afu ikajulikana ni wewe.Hayo mamilioni ya ndururu utapata wapui mwenzangu......................chukua vipimo ujue moja
 
Oooh kAMA ALITAKA KUZUIA MIMBA ANGEKUWA anamwaga nje au wangetumia contraception methods mbona zipo kibao.hajui kama hiyo ya kuhesabu ni unaweza jimix na kitu kikatinga any way maji alishayavulia nguo sasa ayaoge tu.na tena uitunze hiyo mimba siyo kumdhalilishA DADA WA WATU

Ok. Ila nasikia ikimwagiwa huko ndo mambo yanakuwa excelent kwenu. So kumwaga nje sio deal though. Na sio practical ki hiiiivyo!
 
We first lady vipi? Kesha kuambia alishapima na lengo ni ku-enjoy to the fullest. Inamaana hujui kwamba ukila pipi yenyewe bila karatasi ni tamu kuliko ikiwa kwenye pack yake? We vipi bana!

Mweleze mkuu hizi sox bana huenjoy vizuri mwambie amung'unye peremende na karatasi aone.
 
Kwani ina miezi mingapi?yawezekana haijaingia cku hizo unazozidhani wewe,kwani mbegu yaweza kuishi siku2 na ikaja ikafertilize. mihim subiri bebii atoke ndo utake action, waweza itesa damu yk bure!

Toka nimege huu mwezi unaenda wa 2.
Wakuu vp issue ya abortion?
 
hebu kubali kulea hiyo mimba, itakuwa ya kwako tu.Wanaume bwana mnapokuwa mnafanya mnajisikia raha, mazao yakija mnaanza kuwa na mashaka.Tena inabidi umuoe kabisaaaa huyo binti.

Nikubali wakati sina uhakika akiwa mtoto si wangu atanirudishia gharama?
Sasa Pretty kama wewe ungekuwa husikii raha usingekuwa unamegwa wote raha twapata sio mmoja ndo anasikia raha.
 
Nikubali wakati sina uhakika akiwa mtoto si wangu atanirudishia gharama?
Sasa Pretty kama wewe ungekuwa husikii raha usingekuwa unamegwa wote raha twapata sio mmoja ndo anasikia raha.
Hadi mlipoamua kwenda kupima na kuanza kufanya nyama kwa nyama, mie nadhani mlipendana kweli kweli na kuaminiana na ulishakuwa na lengo na huyo binti. Hivyo usiwe na mashaka nae, hiyo mimba itakuwa yako tu. Kama kweli ulimpenda huyo binti utalea tu mimba. Kama huna uhakika basi uwe unampa huduma angalau nusu nusu ili apate lishe bora ya kumfanya na mtoto akue vizuri tumboni.
Baada ya kujifungua tu, nenda kapime DNA kama mtoto wa kwako, hapo sasa utaanza kutoa huduma kamili.
 
Nikubali wakati sina uhakika akiwa mtoto si wangu atanirudishia gharama?
Sasa Pretty kama wewe ungekuwa husikii raha usingekuwa unamegwa wote raha twapata sio mmoja ndo anasikia raha.

Mpwa

Pretty hamegwi hadi atapoolewa!
 
Toka nimege huu mwezi unaenda wa 2.
Wakuu vp issue ya abortion?


Achana na mawazo hayo, kama wewe ungeuwawa kupitia abortion hapa tungekuwa tunachati na nani?

Kuzeni hiyo mimba mtoto azaliwe huwezi jua pengine mtamleta duniani Julius Kambarage Nyerere mwingine au Asha Rose Migiro. Pia mtoto anaweza kuwa adopted na watu wengine kama nyie hamumtaki.

Mimba ikifika miezi mitatu aongea na wazazi au ndugu wa karibu kwa ushauri. Nina uhakika watastep up kukusaidia na kumbuka kumzaa huyu mtoto haimanishi lazima muoane kama hampendani.

All the best.
 
Toka nimege huu mwezi unaenda wa 2.
Wakuu vp issue ya abortion?

wewe nawe, mbona muoga wa majukumu hivyo? ningekuwa mie huyo mwanamke uniambie ishu ya abortion nicngekuelewa kabisa, hebu jiandae huko.
 
Toka nimege huu mwezi unaenda wa 2.
Wakuu vp issue ya abortion?

Fidel80, wadau watakupa ushauri wa kila aina hapa jamvini, lakini mwisho wa siku wewe na huyo mwenzio ndio mnaoamua cha kufanya na hiyo mimba. Unaweza ukamshauri afanye abortion halafu ukaja ukajuta baadae au usijute, na unaweza ukaamua mtoto azaliwe na pia ukajuta au ukafurahia uamuzi wako.

Kama unapenda watoto na una uhakika wa kumsupport, then let that kid live, haimaanishi kwamba utalazimishwa kumuoa huyo demu kwa sababu inaonekana wazi huna mpango wa kuishi naye. Lakini pia don't commit yourself to whatever that will not make you happy for the rest of your life.
 
Fidel80, wadau watakupa ushauri wa kila aina hapa jamvini, lakini mwisho wa siku wewe na huyo mwenzio ndio mnaoamua cha kufanya na hiyo mimba..

Nashukuru Bishop kwa ushauri wako.
Lakini cha kushangaza mpaka leo hii nilipo mwambia sina imani na hiyo mimba kama ni yangu au lah kwa sababu nilizo taja hapo juu mpaka leo hii hakuna mawasiliano baina mm na yeye.
Hivyo basi wakuu naamini kuwa yule binti alitaka kunibambika na yawezekana kuna mtu tulikuwa tunamega wote kwa hiyo alikuwa anapima maji unga ni yupi anaweza kumtupia hicho kizygote akaona mmmh kwa Fidel kaja na mkakati wa sayansi zaidi na hana nia ya kulea mtoto ndo maana ameamua kumtupia mwanaume mwingine ndo hapo wakuu tunabambikiwa sana hizi mimba sio mwanamke akikwambia nina mimba yako wewe ukafurahia kupata mtoto mbeleni utakuja kulea mtoto wa rafiki yako au jirani yako bila wewe mwenyewe kijatambua baada mtoto anakua unakuta anafanana na watoto wa mzee flani au rafiki yako hatukawii kudanganywa kuwa oooh si uliona ile mimba ilivyo kuwa inampenda baba flani ndo maana nimezaa mtoto anafanana nae sasa sielewi wakuu wa sayansi mnalizungumziaji hili au mimba nazo zina uchavushaji peke maana hizi kesi nimeshuhudia kibao mtu kazaa mtoto mchina hapo Msewe mama akamwambia baba hii mimba ilikuwa inampenda sana yule mchina rafiki yake uliye kuwa unakuja nae hapa nyumbani ndo maana nimezaa mtoto ana rangi ya kizungu jamaa kila akifikiri kama kwao na kwa mke kuna hata chotara hapati jibu na mtoto mkubwa na anaendelea kukua lakini rangi ni tofauti na watoto waliozaliwa awali au baadae baba yupo tu kabung'aa sasa ni bora mtu ukamuweka wazi maana wanawake kwa udanganyifu ndo wenyewe hii kesi ya pili kunikumba na ingine nimelea mpaka mimba mpaka mtoto anazaliwa lakini pindi nilipo enda kumwangalia mtoto nikaona sura tofauti kabisa kuangalia pua ile tofauti kabisa na hakuna pua kama ile ukoo wetu pua kama bedford na kumwangalia yule mwanamke labda kachukua pua kwa mama nikaona nako bila bila tofauti basi nikabainiki nimeuziwa mbuzi kwenye gunia nikampa za matumizi kama kawaida lakini siku mtoto alipo ugua alinipigia cmu mtoto kalazwa TMK anaomba pesa nikamuuliza una uhakika kuwa mm ndo baba wa huyo mtoto akasema ndio bila hiyana dah nikamwambia dada kama ungekuwa mkweli mm ningekusaidia kumlea mtoto huyu mpaka akakua najua na unaelewa kuwa mm sio baba halisi wa huyu mtoto na baba ake yupo na za matumizi anakupa ila tunapishana tu kwa wakati wa kuja kukupa matumizi nikamwambia ujanja wako nimeubaini wewe si mkweli unataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia nakusamehe kwa kunidanganya na kuanzia sasa nakata maswala yote ya matumizi kama utapenda kwenda vyombo vya sheria ruksa unaweza kwenda na ukanifikisha huko mm kama baba wa mtoto nimekacha kutoa pesa za matunzo ya mtoto basi tukamalizana hivyo hivyo mpaka kesho hajawahi piga cmu zaidi zaidi alikuwwa anaomba msamaha nikamwambia NO umenitapeli kwa hiyo mtafute baba wa mtoto huyu na si mm.
Kwa hiyo wakuu unapo ambiwa na mwanamke ana mimba cha muhimu ni kuwa makini mwingine anaweza kukwambia hivyo kumbe anakutega anapima akili yako ikoje je akipata ujauzito utalichukuliaje? Je utamlea kweli? Baada ya yeye mwanamke kujiridhisha kuwa wewe unania thabiti hata akishika mimba unaweza mlea na kumwoa basi anakutegeshea sasa taaaaa anadaka mimba sasa kama mjanja na unakumbukumbu utabaini miezi ya mimba lakini kama zube ndo hapo sasa vile vile mwanamme anaweza akawa hawezi kuzalisha lakini mwanamke amempenda na kila akimtegeshea jamaa apige mimba anashindwa mwanamke anacho fanya ni kutoka nje anampa jamaa na kupiga mimba kisha anakuja kwako wewe unamalizia unajua yule ni mtoto wako kumbe kuna mjanja kapanda mbegu na wewe huna ubavu huo lakini hii daima iwa inabakia ni siri ya mwanamke lakini yeye lengo lake ni kuoa basi akisha ingia katika himaya ya mwanaume burudani inaendelea hahahaha si mnajua mwanamke akisha kuwa katika himaya ya mwanamme anavyo geuka kama kinyonga ana badilika kabisaaaaa.
Nawashukuru wote mlionipa ushauri wenu.
Napenda kuwapongeza kwa wale walio kuwa wakunisihi nisubili mpaka kiumbe kitoke lakini kingenigharimu zaidi mimi na yeye mwenyewe aliye beba mzigo ule maana pindi apambo mm ningebaini si kiumbe changu na nikakata huduma yeye ange athirika zaidi na kiumbe chake ni bora tatizo kulitatua katika hatua za mwanzo kuliko kusubili.
 
wenzako unawakomalia kumbe na wewe ulitokea huku huku, una kauzembe pia, ila nadhani umejifunza pia kama mimi
 
Naombeni ushauri wakuu kuna kitu kinanitatiza kidogo.
Kuna binti iwa najimegea muda mrefu mara baada ya kupima tukaamua kutundika sox hewani na kuanza kumega kavu.
Kuna siku ilitakiwa tukutane bahati mbaya akawa kwenye hedhi tukasibili iishe baada ya kuisha siku ya 4 ya 5 tukakutana nikamega kama kawa.
Sasa imepita miezi 2 sijamega leo hii ananiambia ana mimba yangu.
Je wataalamu ni kweli anaweza pata ujauzito baada ya kutoka kwenye hedhi kukata siku ya 4 na siku ya 5 nikakutana nae wkt wataalamu mnadai siku ya hatari ni ya 13,14 na 15 sasa huyu binti kweli kapata ujauzito au ndo kigezo cha kujipatia za matumizi?? za ziada?
Naombeni ushauri wenu.
mkuu nafikiri mtoto ameshakuwa sasa! naameshaanza nursery
 
Back
Top Bottom