Naamini CHADEMA watashiriki Uchaguzi Mkuu 2025 bila uwepo wa Katiba mpya

Naamini CHADEMA watashiriki Uchaguzi Mkuu 2025 bila uwepo wa Katiba mpya

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Chadema wamesema hawatashiriki uchaguzi wa 2025 katu bila katiba mpya, na hakuna tume huru itakayopatiokana bila katiba mpya

Utabiri wangu ni 2025 hakuna katiba mpya itakayokuwepo, na hii tume ya sasa pengine itarekebishwa kidogo, ila haitakuwa na uhuru, lakini Chadema watabadilisha gia angani na watashiriki, kama kawaida yao

Watanadi sera zilezile za Magufuli

Kama mnavyokumbuka Chadema kabla ya Magufuli 2015 sera zao ni kama vile kama tunanyonywa na wazungu, mafisadi wametufikisha hapa, hatuna ndege tumepitwa hadi na Rwanda, matajiri wanashirikiana na CCM kutunyonya, nchi hii tunahitaji dikteta ili mamo yaende, Serikali iwaache machinga wafanye biashara zao kwa uhuru imewanyima ajira, Kenya imeejenga reli, barabara na flyover za kisasa sisi tmelala tu n.k

Siasa hizi ambazo ni za ki populist, hazitoi suluhisho lolote zaidi ya quick fix ambazo zinafeli, ndizo ambazo Magufuli alienda nazo kwa kiasi kikubwa, lakini Chadema hao hao ndio wakawa wanampinga tena

Sera za Chadema zikawa hivi, ndege zinatutia hasara, bora tujenge barabara vijijini tuwape wananchi maji, Magufuli ana roho mbaya anawaonea wafanyabiashara hadi wengi wanakimbia, tunataka maendeleo ya watu sio ya vitu ma fly over ya kazi gani watu wanalia njaa, Magufuli anatumbua hovyo anawatia hofu utumishi wa umma, kuacha machinga watapakae mjini ni ukichaa, Watanzania sio wanyonge n.k

Sasa Samia kidogo anaanza kuachana na siasa hizi, japo mengine hawezi kuachana nayo, Chadema 2025 watasikika tena vile vile, machinga mtarudi mtaani kama awali, mafisadi wamerudi kutunyonya, wafanyabiashara wanashirikina na CCM kutunyonya na kukwepa kodi, nchi hii inahitaji dikteta Samia anawalegezea tu macho mafisadi, wawekezaji wananyonya utajiri wetu, wanyonge mnakandamizwa sana n.k

Hizi sio siasa za kutoa wananchi kwenye umasikini, ni siasa zinazosukumwa na wivu na roho mbaya ambazo badala ya kutoa watu kwenye umasikini zitaishia kumfanya kila mtu awe masikini..

Siasa za kweli zinatakiwa kuwaambia wananchi ukweli hata kama ni mchungu kuwa sisi ni masikini kwa kiasi kikubwa kutokana na uvivu na ujinga wetu wenyewe na ni namna gani Chadema itaweza kupunguza huu uvivu na ujinga ili tuwe taifa la wazalishaji, na sio 'mkituchagua sisi hii itakuwa ni nchi ya maziwa na asali'

Kuitoa nchi kwenye umasikini ni safari ndefu sana inayohitaji kwa kiasi kikubwa zaidi wananchi kuliko viongozi, hakuna quick fix bila wananchi kubadilika hata tubadili viongozi namna hata bila
 
Unaelewa maana ya SERA? mbona hakuna sera yoyote uliyoindika hapa!
Chadema wamesema hawatashiriki uchaguzi wa 2025 katu bila katiba mpya, na hakuna tume huru itakayopatiokana bila katiba mpya

Utabiri wangu ni 2025 hakuna katiba mpya itakayokuwepo, na hii tume ya sasa pengine itarekebishwa kidogo, ila haitakuwa na uhuru, lakini Chadema watabadilisha gia angani na watashiriki, kama kawaida yao

Watanadi sera zilezile za Magufuli

Kama mnavyokumbuka Chadema kabla ya Magufuli 2015 sera zao ni kama vile kama tunanyonywa na wazungu, mafisadi wametufikisha hapa, hatuna ndege tumepitwa hadi na Rwanda, matajiri wanashirikiana na CCM kutunyonya, nchi hii tunahitaji dikteta ili mamo yaende, Serikali iwaache machinga wafanye biashara zao kwa uhuru imewanyima ajira, Kenya imeejenga reli, barabara na flyover za kisasa sisi tmelala tu n.k

Siasa hizi ambazo ni za ki populist, hazitoi suluhisho lolote zaidi ya quick fix ambazo zinafeli, ndizo ambazo Magufuli alienda nazo kwa kiasi kikubwa, lakini Chadema hao hao ndio wakawa wanampinga tena

Sera za Chadema zikawa hivi, ndege zinatutia hasara, bora tujenge barabara vijijini tuwape wananchi maji, Magufuli ana roho mbaya anawaonea wafanyabiashara hadi wengi wanakimbia, tunataka maendeleo ya watu sio ya vitu ma fly over ya kazi gani watu wanalia njaa, Magufuli anatumbua hovyo anawatia hofu utumishi wa umma, kuacha machinga watapakae mjini ni ukichaa, Watanzania sio wanyonge n.k

Sasa Samia kidogo anaanza kuachana na siasa hizi, japo mengine hawezi kuachana nayo, Chadema 2025 watasikika tena vile vile, machinga mtarudi mtaani kama awali, mafisadi wamerudi kutunyonya, wafanyabiashara wanashirikina na CCM kutunyonya na kukwepa kodi, nchi hii inahitaji dikteta Samia anawalegezea tu macho mafisadi, wawekezaji wananyonya utajiri wetu, wanyonge mnakandamizwa sana n.k

Hizi sio siasa za kutoa wananchi kwenye umasikini, ni siasa zinazosukumwa na wivu na roho mbaya ambazo badala ya kutoa watu kwenye umasikini zitaishia kumfanya kila mtu awe masikini..

Siasa za kweli zinatakiwa kuwaambia wananchi ukweli hata kama ni mchungu kuwa sisi ni masikini kwa kiasi kikubwa kutokana na uvivu na ujinga wetu wenyewe na ni namna gani Chadema itaweza kupunguza huu uvivu na ujinga ili tuwe taifa la wazalishaji, na sio 'mkituchagua sisi hii itakuwa ni nchi ya maziwa na asali'

Kuitoa nchi kwenye umasikini ni safari ndefu sana inayohitaji kwa kiasi kikubwa zaidi wananchi kuliko viongozi, hakuna quick fix bila wananchi kubadilika hata tubadili viongozi namna
 
Sera za Magufuli zilikuwa ni zipi?
Magufuli alikuwa na mihemko zaidi kuliko sera. Alizikwepa sera za CCM akaamua kuunda kakikundi ka watu wachache ka watu wasiokuwa na uzoefu ndiyo wamshauri kuhusu sera. TOTAL FAILURE
 
Ndio shughuli yao kuu inayowapa ugali watashiriki tuu. Hawana jinsi
 
..Magufuli alisema anatekeleza sera za Chadema.

..Umesahau alisema M4C ya Chadema maana yake ni " magufuli for change."?

..Sasa 2025 wacha wenye asili na sera hizo waje wazitekeleze kwa usahihi.

..Na usahihi maana yake ni kuachana na ubaguzi, udhalilishaji, utekaji, utesaji, uuaji, na mambo yote mabaya ya awamu ya 5.
 
Chadema wamesema hawatashiriki uchaguzi wa 2025 katu bila katiba mpya, na hakuna tume huru itakayopatiokana bila katiba mpya

Utabiri wangu ni 2025 hakuna katiba mpya itakayokuwepo, na hii tume ya sasa pengine itarekebishwa kidogo, ila haitakuwa na uhuru, lakini Chadema watabadilisha gia angani na watashiriki, kama kawaida yao
Naunga mkono hoja, watashiriki.
P
 
Chadema wamesema hawatashiriki uchaguzi wa 2025 katu bila katiba mpya, na hakuna tume huru itakayopatiokana bila katiba mpya

Utabiri wangu ni 2025 hakuna katiba mpya itakayokuwepo, na hii tume ya sasa pengine itarekebishwa kidogo, ila haitakuwa na uhuru, lakini Chadema watabadilisha gia angani na watashiriki, kama kawaida yao

Watanadi sera zilezile za Magufuli

Kama mnavyokumbuka Chadema kabla ya Magufuli 2015 sera zao ni kama vile kama tunanyonywa na wazungu, mafisadi wametufikisha hapa, hatuna ndege tumepitwa hadi na Rwanda, matajiri wanashirikiana na CCM kutunyonya, nchi hii tunahitaji dikteta ili mamo yaende, Serikali iwaache machinga wafanye biashara zao kwa uhuru imewanyima ajira, Kenya imeejenga reli, barabara na flyover za kisasa sisi tmelala tu n.k

Siasa hizi ambazo ni za ki populist, hazitoi suluhisho lolote zaidi ya quick fix ambazo zinafeli, ndizo ambazo Magufuli alienda nazo kwa kiasi kikubwa, lakini Chadema hao hao ndio wakawa wanampinga tena

Sera za Chadema zikawa hivi, ndege zinatutia hasara, bora tujenge barabara vijijini tuwape wananchi maji, Magufuli ana roho mbaya anawaonea wafanyabiashara hadi wengi wanakimbia, tunataka maendeleo ya watu sio ya vitu ma fly over ya kazi gani watu wanalia njaa, Magufuli anatumbua hovyo anawatia hofu utumishi wa umma, kuacha machinga watapakae mjini ni ukichaa, Watanzania sio wanyonge n.k

Sasa Samia kidogo anaanza kuachana na siasa hizi, japo mengine hawezi kuachana nayo, Chadema 2025 watasikika tena vile vile, machinga mtarudi mtaani kama awali, mafisadi wamerudi kutunyonya, wafanyabiashara wanashirikina na CCM kutunyonya na kukwepa kodi, nchi hii inahitaji dikteta Samia anawalegezea tu macho mafisadi, wawekezaji wananyonya utajiri wetu, wanyonge mnakandamizwa sana n.k

Hizi sio siasa za kutoa wananchi kwenye umasikini, ni siasa zinazosukumwa na wivu na roho mbaya ambazo badala ya kutoa watu kwenye umasikini zitaishia kumfanya kila mtu awe masikini..

Siasa za kweli zinatakiwa kuwaambia wananchi ukweli hata kama ni mchungu kuwa sisi ni masikini kwa kiasi kikubwa kutokana na uvivu na ujinga wetu wenyewe na ni namna gani Chadema itaweza kupunguza huu uvivu na ujinga ili tuwe taifa la wazalishaji, na sio 'mkituchagua sisi hii itakuwa ni nchi ya maziwa na asali'

Kuitoa nchi kwenye umasikini ni safari ndefu sana inayohitaji kwa kiasi kikubwa zaidi wananchi kuliko viongozi, hakuna quick fix bila wananchi kubadilika hata tubadili viongozi namna hata bila
Kikubwa hapa ni kutafuta wabunge wengi ndani ya bunge pia Madiwani hii itawezesha kupita kwa Katiba kwa kura mwiano.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom