Naamini kabisa, Tanzania kichwa cha mwendawazimu

Naamini kabisa, Tanzania kichwa cha mwendawazimu

Hahaa mgeni rasmi alivyoona tumefungwa la tatu akasepa kaondoka mdogo mdogo, kitu tkimeonyeshwa kipo tupu jamaa kasepa
 
Tumechoka kunyanyaswa kwenye soka mechi tana ata kagoli kandondokera hakuna sheria ifuate mkondo wake kocha na wachezaj wafunguliwe kesi ya kuwanyanyasa watanzania na wapewe adhabu ya kuchapwa bakora kwani tunabwanwa sana wananch kwenye kodi ili wenzetu wahudumiwe ipasavyo na kutupa furaha lakini wanashindwa nafikir walipe tu kwa kukatwa mishahara ya miezi yote waliyo fanya vibaya tuiunge mkono twiga nafikir wanajua wajibu wao
 
Nchi hii imelaaniwa kwa sababu ya siasa kila mahali.Malinzi na timu take hakuna wanachofanya kukuza soka yetu.Hata akija kocha Morinho tutachapwa tuu.TFF ni lazima wabadili mfumo wa Ligi na wazibane club zote kuwa na timu kuanzia umri miaka13 hadi 20 na kuwe na Ligi ya kila umri.Pia Ligi club ziwe na wachezaji wazawa under 20 kwenye first eleven yao.Serikali nayo irudishe somo la michezo mashuleni
 
Hahaha mgeni rasmi alikuwa nani?

Wa kule Zanzibar kati ya raisi wa ZDFA au makamu wake, sikumpata vizuri ila camera zilimulika jamaa akiwa ameondoka, mtangazaji kwa masikitiko akasema hujawahi tokea kituo mgeni rasmi kukimbia
 
Alafu lilivyofungwa goli la tatu wakamuonesha mainzi anatikisa kichwa.. Hahaa kumbe yeye pia ni mzigo soka la bongo
 
TFF yenyewe majanga .... Wanakaa tu pale kuwaza kula tu na kutimua makocha. Wajiuzulu wao.
 
Back
Top Bottom