Naamini kama hakungekuwa na vitisho vya kuhama dini. Watu wengi wasingekuwa kwenye dini zilizopo

Naamini kama hakungekuwa na vitisho vya kuhama dini. Watu wengi wasingekuwa kwenye dini zilizopo

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Nimegundua watu wengi wako kwenye dini walizoko kwa mashinikizo ya kijamii na sio hiyari.
Nimeona vijana wawili walipohama kutoka katika dini zao za kikristo na kuhamia ukristo mwingine wazazi waliwakataa na kugoma kuwasaidia. Tena mmoja kaishia form 2.

Juzi nimemuona kijana mmoja Muislam kaja kanisani tena bila kuhubiriwa ila anasema kwao waliposikia wanamuita kafiri na wanamtenga. Mwingine anaogopa kurudi kwao Tanga maana walimuita kwenye kikao anahofu anaweza kumalizwa kabisa.


My take
Kama Mungu alimuacha Shetani aende zake na wafuasi wake, kwa ninj sisi leo tunatumia mateso, ubabe na vitisho kuhakikisha watu wetu hawahamii katika mtazamo mpya wa imani. Je sisi tuna nguvu huliko Mungu?
Mbona wakianza kulewa, uhuni au uchafu mwingine tunawavumilia ila sio kubadili mtazamo wa imani?


Ni hayo tu....
 
Kwa kugundua hilo wajanja wameanzisha makanisa ambayo yanasema hapa hatuangalii dini ya mtu. Tunapokea watu wa dini zote hata kama zinapingana na imani yao. Hatubadilishi mtu dini. Msimamo huu pia utaukuta kwenye Majumba ya Kifreemasons. Watakwambia baki na dini yako ila pia ubaki nao ndio maana unaapishwa na kitabu cha dini yako.
 
Nimegunduq watu wengi wako kwenye dini walizoko kwa mashinikizo ya kijamii na sio hiyari.
Nimeona vijana wawili walipohama kutoka katika dini zao za kikristo na kuhamia ukristo mwingine wazazi waliwakataa na kugoma kuwasaidia. Tena mmoja kaishia form 2.

Juzi nimemuona kijana mmoja Muislam kaja kanisani tena bila kuhubiriwa ila anasema kwao waliposikia wanamuita kafiri na wanamtenga. Mwingine anaogopa kurudi kwao Tanga maana walimuita kwenye kikao anahofu anaweza kumalizwa kabisa.


My take
Kama Mungu alimuacha Shetani aende zake na wafuasi wake, kwa ninj sisi leo tunatumia mateso, ubabe na vitisho kubakikisha watu wetu hawahamii katika mtazamo mpya wa imani. Je sisi tuna nguvu huliko Mungu?
Mbona wakianza kulewa, uhuni au uchafu mwingine tunawavumilia ila sio kubadili mtazamo wa imani?


Ni hayo tu....
Hmmm
 
Kuna ule upande huwa wana hubiri kuhusu


Kifo,kuchomwa moto jehanamu,kukashifu upande dini nyingine na kadhalika

Hakika dini ni utapeli
Mimi hizi dini natamani ziwe kama wauzaji wa bidhaa kkoo. Kila mmoja aelezee ubora wa bidhaa yake. Sisi kama wateja tuchague kipi bora kwa kulinganisha sio kutumia muda mwingi kuelezea ubaya wa mwingine.

Mtu anataka kujua nikichukua package yako inanisaidiaje kutatua changamoto zangu za kimaisha na za kiroho sio ubaya wa Yule. Ubaya wa Yule upimwe na uzuri wako sio maneno yako kuhusu yule.
 
unajumuisha dini zote wakati zipo dini safi zisizo na mawaa wala makandokando
Kimsingi karibu dini zote hazitaki kuondokewa na wafuasi. Ndio maana wako tayari kutumia njia yoyote kuwaaminisha watu kuwa hapo ndio sahihi. Ila wanashindwa kujua kama adam alipewa kila kitu lakini akamchagua shetani bado hao watu wanahaki ya kuchagua hata kama ni maamuzi potofu. Wasitishwe ila watumie ushawishi wa kiroho na hoja kuwarejeza.
 
Nimegundua watu wengi wako kwenye dini walizoko kwa mashinikizo ya kijamii na sio hiyari.
Nimeona vijana wawili walipohama kutoka katika dini zao za kikristo na kuhamia ukristo mwingine wazazi waliwakataa na kugoma kuwasaidia. Tena mmoja kaishia form 2.

Juzi nimemuona kijana mmoja Muislam kaja kanisani tena bila kuhubiriwa ila anasema kwao waliposikia wanamuita kafiri na wanamtenga. Mwingine anaogopa kurudi kwao Tanga maana walimuita kwenye kikao anahofu anaweza kumalizwa kabisa.


My take
Kama Mungu alimuacha Shetani aende zake na wafuasi wake, kwa ninj sisi leo tunatumia mateso, ubabe na vitisho kuhakikisha watu wetu hawahamii katika mtazamo mpya wa imani. Je sisi tuna nguvu huliko Mungu?
Mbona wakianza kulewa, uhuni au uchafu mwingine tunawavumilia ila sio kubadili mtazamo wa imani?


Ni hayo tu....
Wee unaweza hama dini yako
 
Sasa hao madogo wanahama dini wakati wapo chini ya wazazi. Ukishakuwa mkubwa ukahama dini haileti shida, wataongea mwisho wataacha maana hawana la kukufanya.
 
Kwa kugundua hilo wajanja wameanzisha makanisa ambayo yanasema hapa hatuangalii dini ya mtu. Tunapokea watu wa dini zote hata kama zinapingana na imani yao. Hatubadilishi mtu dini. Msimamo huu pia utaukuta kwenye Majumba ya Kifreemasons. Watakwambia baki na dini yako ila pia ubaki nao ndio maana unaapishwa na kitabu cha dini yako.
kwenye imani mtu wa namna hiyo hatakiwi mkuu, hapo itakuwa kuchanganya imani mwisho wa siku utakuwa haueleweki unachosimamia
 
Ila ukristo ni utopolo bora dini zooote hata za mizimu kuliko kuwa na dini ya kutapeliwa na wavaa suti
 
Dini zinastawi sana kwa kutegemea kutisha waumini juu ya mambo yasiyoonekana wala yasiyo na ukweli
 
Mimi hizi dini natamani ziwe kama wauzaji wa bidhaa kkoo. Kila mmoja aelezee ubora wa bidhaa yake. Sisi kama wateja tuchague kipi bora kwa kulinganisha sio kutumia muda mwingi kuelezea ubaya wa mwingine.

Mtu anataka kujua nikichukua package yako inanisaidiaje kutatua changamoto zangu za kimaisha na za kiroho sio ubaya wa Yule. Ubaya wa Yule upimwe na uzuri wako sio maneno yako kuhusu yule.
Kabisa mkuu,
 
imani ya kikristo ndio yenyewe sasa, hujajua tu
Aaaah mimi suala la kwenda kusali ni Mpaka uwe na hela mimi huo ufara sifanyi..

Kuna dogo nilimpokea geto kwangu ana dini sana weekend ya kwanza ameenda kusali kanisani.. jpili iliyo fuata naona mtu hatoki ndani .... ikabid nimuulize unaumwa? Akaniambia “kanisani kwetu muda wa kutoa sadaka wanainuka kwa mstari mimi sina hela kutokuinuka ni aibu “”

Ilibidi nishangae hii dini ni ya wenye hela tu au Mungu wao bila hela hapokei sala yako
 
IMG_3463.png
 
Back
Top Bottom