Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema kusali ni mpaka uwe na hela? huyo mdogo wako angekausha angeinuliwa kwa nguvu? au ni fikira na mtazamo tu juu ya utoaji wa sadaka? sadaka inataka mtu atoe kwa kadri alivyojaliwa si kwa kulazimishwa bali kwa moyo wa kupendaAaaah mimi suala la kwenda kusali ni Mpaka uwe na hela mimi huo ufara sifanyi..
Kuna dogo nilimpokea geto kwangu ana dini sana weekend ya kwanza ameenda kusali kanisani.. jpili iliyo fuata naona mtu hatoki ndani .... ikabid nimuulize unaumwa? Akaniambia “kanisani kwetu muda wa kutoa sadaka wanainuka kwa mstari mimi sina hela kutokuinuka ni aibu “”
Ilibidi nishangae hii dini ni ya wenye hela tu au Mungu wao bila hela hapokei sala yako
Jau sana hutaki kwenda kanisani halafu mzazi anakulazimisha.Sasa hao madogo wanahama dini wakati wapo chini ya wazazi. Ukishakuwa mkubwa ukahama dini haileti shida, wataongea mwisho wataacha maana hawana la kukufanya.
sasa uko chini ya mzazi unaanzaje kutotaka kwenda chech?Jau sana hutaki kwenda kanisani halafu mzazi anakulazimisha.
Ukiuliza shida nini anasema watu watamuonaje...
Aisee.
siamini hayo mambo, sipo huko tena.sasa uko chini ya mzazi unaanzaje kutotaka kwenda chech?
Nakumbuka nyumbani ilikuwa ni lazima kwenda kanisani yaani hakuna sababu unaweza ukatoa ueleweke, labda ugonjwa tu.Jau sana hutaki kwenda kanisani halafu mzazi anakulazimisha.
Ukiuliza shida nini anasema watu watamuonaje...
Aisee.
1. RumiNimegundua watu wengi wako kwenye dini walizoko kwa mashinikizo ya kijamii na sio hiyari.
Nimeona vijana wawili walipohama kutoka katika dini zao za kikristo na kuhamia ukristo mwingine wazazi waliwakataa na kugoma kuwasaidia. Tena mmoja kaishia form 2.
Juzi nimemuona kijana mmoja Muislam kaja kanisani tena bila kuhubiriwa ila anasema kwao waliposikia wanamuita kafiri na wanamtenga. Mwingine anaogopa kurudi kwao Tanga maana walimuita kwenye kikao anahofu anaweza kumalizwa kabisa.
My take
Kama Mungu alimuacha Shetani aende zake na wafuasi wake, kwa ninj sisi leo tunatumia mateso, ubabe na vitisho kuhakikisha watu wetu hawahamii katika mtazamo mpya wa imani. Je sisi tuna nguvu huliko Mungu?
Mbona wakianza kulewa, uhuni au uchafu mwingine tunawavumilia ila sio kubadili mtazamo wa imani?
Ni hayo tu....
Ingekuwa ni hvyo mngeweka suala la utoaji liwe binafsi na sio kuinua mtu mmoja mmoja au kwa mstariNani kasema kusali ni mpaka uwe na hela? huyo mdogo wako angekausha angeinuliwa kwa nguvu? au ni fikira na mtazamo tu juu ya utoaji wa sadaka? sadaka inataka mtu atoe kwa kadri alivyojaliwa si kwa kulazimishwa bali kwa moyo wa kupenda
ni utaratibu tu wa hilo kanisa, ambao huwezi ukaukuta sehemu nyingine, pamoja na huo utaratibu bado haujanyenyuliwa kwa nguvu kwamba bwana MduduAli mbona haujatoa sadaka? hiyo haipoIngekuwa ni hvyo mngeweka suala la utoaji liwe binafsi na sio kuinua mtu mmoja mmoja au kwa mstari
Kuna shetani na kuna munguKwa mfano yapi?
Sababu za kutokuamini ni nini?siamini hayo mambo, sipo huko tena.
ila ndo hivyo, unafanya kishingo upande kukamilisha ratiba.
Ndio kuna shetani na kuna Mungu, kuna shida kwenye hilo?Kuna shetani na kuna mungu
Mungu hayupo.Sababu za kutokuamini ni nini?
Shida ni kuamini uwepo wa vitu ambavyo havijawahi kuwepo wala kuonekanaNdio kuna shetani na kuna Mungu, kuna shida kwenye hilo?
umejuaje? sababu zako ni zipi juu ya hiyo hoja?Mungu hayupo.
umeshawahi kuiona furaha ina rangi gani, kimo chake?Shida ni kuamini uwepo wa vitu ambavyo havijawahi kuwepo wala kuonekana