Naamini kuna jambo linakuumiza akili wakati huu

Naamini kuna jambo linakuumiza akili wakati huu

White drone

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2023
Posts
201
Reaction score
386
Sijui nini unachopitia wakati huu lakini naamini una jambo linakuumiza akili na moyo ongea na Mungu wako akutue huo mzigo wa maumivu haustahili kuendelea kuteseka kama ni kujifunza tayari umeshahitimu,

Nikutakie USIKU MWEMA.
 
Back
Top Bottom