SwadaqtaVanessa mdee
Navy kenzo
Belle 9
Ruby
Joh Makini
Mr blue
Cassim mganga
Christian bella
Weka wewe sasa kama kuna ambao wamesahaulikaSijamuona Man Fongo na Nay Wa Mitego kwenye hiyo list yako mkuu
mwenzanguu[emoji23][emoji23][emoji23]Ruge aliwaambia mkiona fursa itumieni mwenzao Mavoko aliona upepo mapema sasa hivi anakwea ndege tu!
Umenena vema.Uwepo wa timu za kishabiki ndio unaofanya wasanii wengi wasing'are.Ila kiukweli wasanii kama Darassa,Ben paul,barakah,jux,Barnaba wanafanya mziki mzuri kulikoUwepo wa timu za kishabiki ndio unaofanya wasanii wengi wasing'are.Ila kiukweli wasanii kama Darassa,Ben paul,barakah,jux,Barnaba wanafanya mziki mzuri kuliko hawa mafahali wawili.Timu zao zitaua mziki wetu. hawa mafahali wawili.Timu zao zitaua mziki wetu.
Sasa Baraka ana mzki gani umulinganishe na Diamond,Acha kumlinganisha Diamond na wasanii uchwaraUwepo wa timu za kishabiki ndio unaofanya wasanii wengi wasing'are.Ila kiukweli wasanii kama Darassa,Ben paul,barakah,jux,Barnaba wanafanya mziki mzuri kulikoUwepo wa timu za kishabiki ndio unaofanya wasanii wengi wasing'are.Ila kiukweli wasanii kama Darassa,Ben paul,barakah,jux,Barnaba wanafanya mziki mzuri kuliko hawa mafahali wawili.Timu zao zitaua mziki wetu. hawa mafahali wawili.Timu zao zitaua mziki wetu.