lifecoded 1
New Member
- Feb 23, 2024
- 3
- 15
DuhHumanity is just a project that is governed by serious patterns that seem to be complex.Unfortunately we cant escape the mission ..we were choosen to participate in this case study kwa hiyo ni ngumu kujua hilo.
Naitafakari sana kauli ya diamond platnumz kwenye wimbi wake mmoja anaposema; namnukuu; "hii ni sauti ya raisi, iliomshindaga Ibilisi na kwa mwanadamu sio rahisi" kuna vingi sana amevificha kwenye ubeti huu. Sio kwasababu ya kutafuta vina ili aweze ku'flow' la hasha;alilenga kufikisha ujumbe ambao Leo hii ndio tunajionea mafanikio yake makubwa asili yake iko wapi.
Tukikwambia kwa huo ufahamu wako uutumie kuteka watu kiimani, kiuchumi na mengine unaweza ?si kwamba hao waliofanikiwa kuna codes wamefungua ni vile tu wameweza kugusa vitu vinavyoweza kuwapatia matokeo makubwa!.
wanajua namna yakugusa,wanajua kuteleza kupoje,wanajua kuinuka pia kupoje..
kuna baadhi ya vitu kama siasa na dini kuna pengo kubwa sana la watu kutupiga maana hizo vitu mbili ni michezo ya kisaikolojia tu!.
udhaifu utakaouonyesha ndio tutakupigia hukohuko
wanajua mnashahuku za imani,na fikra zenu zinakiu za kutaka kuufahamu ukweli ama kuwafikisha kule mnakofikiria mnataka kufika..
so hiyo inatosha kuwafunga minyororo nakufanya mumfate aliewafunga!.
uhalisia wa mwanadamu upo ktk kutafiti,ila wengi hawatafiti maana tafiti inahitaji kufikiri na wengi ni wavivu kufikiri so waliojanjaluka wanatumia hiyo gap!..
ni sayansi ya kweli tu ndio haidanganyi na ukiona sayansi imedanganya jua wewe ndio umekosea kuitafsiri yani bado hujapata jibu!..
Hao ote ulowataja hapo ni wachumba tu mzee kuna 8% up to 10% ya watu ndo wanaoongoza ulimwengu huu na ote hao ndo secret code breaker refer rock feller family na nyinginezoHivi ni akina nani hao ambao wanakua considered kuwa wame Break secret code?
Nyerere, Platinumz, Samatta, Ramadhani Brothers, Bharesa, Mo au Kusaga nk nk?
Ni Dangote, Mo Salah, Davido au Noah nk nk?
Je ni Trump, Bill Gate, Steve Job, Jay Z au Messi nk nk
Je ni Alexendra the Great, Newton, Einstein nk nk
Na akina nani hao ambao ni HIGHER-POWER
Nature ina sheria zake
Most people intend to ignore NATURE na kuanza kukumbatia IMANI kutafuta majibu
Binadamu hajui kila kitu lakini angalau sayansi imetusaidia kujibu maswali mengi yaliosingiziwa IMANI
Tunahitaji kuijua zidi The Law Of Nature
Kwanini kuna usiku na mchana, kuna majira kwa mwaka, kuna viumbe wakike wengi kuliko wakiume, kwanini social animal wanauongozi, kwanini wengine ni masikini wengine matajiri,
Kwanini sehemu fulani wanaugua sana ugonjwa fulani
Kwanini wapare ni wafupi nk nk
Badala yake tumejikita sana kwenye IMANI zitokanazo na vitabu ambavyo havijulikani muandishi ni nani wala vya mwaka gani wala ukweli wake na havina uthibitisho wowote zaidi ya hekaya za elfu ulela
Tuna amini katika nadharia hewa na kujijengea “fear of unknown”
Majibu ya hoja zako kiasi kikubwa yanajibika kisayansi
Inafikirisha sana....Kuna higher powers zinafanya maamuzi na ku control ili mambo yawe hivi yalivyo, ukilijua hilo utaacha kukimbiza pesa bali utaitega pesa
Dah!...hapo kwenye 'self investment ' ndio penye shughuli.Ndo maana nashauri if you want to be come an extraordinary , focus on self-investment hata usipokuwa tajiri wa majumba na magari Ila kuna hatua ya ukuaji utafikia itayokupa the meaning life
Siri kubwa sana hii kwa walioielewa.Dunia hii cheza TU na ulimwengu wa roho ukitaka kuishi vizuri au mambo Yako yakuendee
Hapo kwenye instinct uko sahihi kabisa.Code ni kujua source of knowledge Kama
Revelation
Intuition
Sense
Instinct
Kuna utofauti Kati ya MTU anayeamini kuanzia ndani yake na yule anayeamini kupitia mawazo na maoni ya watu .
Doesn't matter unapambana kiasi gani Ila ukiwa hauna the strongest inner power u will end up being broke with endless disappointments.
I used to unlock this code 2019 since then mambo yana flow vizuri.
Wazungu na watu extraordinary people wametuzidi sehemu Kama hizo kujisikiliza kuanzia ndani yao then kuweka vitu katika vitendo.
Ndo maana nashauri if you want to be come an extraordinary , focus on self-investment hata usipokuwa tajiri wa majumba na magari Ila kuna hatua ya ukuaji utafikia itayokupa the meaning life
Nashangaa mkuuOyaaa ehhh endeleeni kuweka madini hapa ,haiwezekani uzi mzuri kama huu uishie pafupi namna hiii .
Kuna ukweli ndani yake... Ukiangalia na kufatilia watu mashuhuri especially wasanii... Kuna vitu wanafanya behind the scenes (kupata fame na success) sidhan kua et kipaj na uwezo binafs ndo viliwatoa. It's all about the secret society.Naitafakari sana kauli ya diamond platnumz kwenye wimbi wake mmoja anaposema; namnukuu; "hii ni sauti ya raisi, iliomshindaga Ibilisi na kwa mwanadamu sio rahisi" kuna vingi sana amevificha kwenye ubeti huu. Sio kwasababu ya kutafuta vina ili aweze ku'flow' la hasha;alilenga kufikisha ujumbe ambao Leo hii ndio tunajionea mafanikio yake makubwa asili yake iko wapi.
Dunia inaongozwa na elite illuminated family Ambao ni watano TU.Hao ote ulowataja hapo ni wachumba tu mzee kuna 8% up to 10% ya watu ndo wanaoongoza ulimwengu huu na ote hao ndo secret code breaker refer rock feller family na nyinginezo
Ina maana maisha lazima uende beyond kidogo na mazoea ya watu ili uwe tofauti haswa katika jamii maskini hususani Africa.Umenena vema san hizi lyrics zina maana sana wakati mwingine chek hizi lyrics za P-square katika wimbo wao wa Bring it on nanukuu “ i don care who you’re and where you 4m @ what you do just as long as you chasing money do what’s right never give upon……… Life no dey sweet o eh
If some people no dey hate o
So use your number six o
Dey calculate you go see the ratio
The beef sef na meat o
Whether na asun dem relate o
So bring your own crayfish o
We go mix o oh na oh oo
We running things in this town cant you see”
So hapo kuna kitu ni direct wamefanikiwa sbb ya mikataba yao ya kuzimu so wanajaribu kutufichua akili zetu [emoji2213]
Mkuu naweza PATA softcopy hiiKuna kitabu cha Henry Ford ~ Today & Tommorow alijibu masuali mawili mule
Na nukuu “Why Dishonesty People succed in life??! and Why Honesty People Fail In Life?? Majibu yake Yana play role inayofanya wakati Mwingine tutofautiane kimafanikio
Hizi nyuzi zako zina amsha amsha ya kufanya watu waangalie mambo katika sura nyingine.