Naamini kuna watu wameweza ku-unlock secret codes za maisha na wanaishi kawaida na sisi kama watu wa kawaida

Naamini kuna watu wameweza ku-unlock secret codes za maisha na wanaishi kawaida na sisi kama watu wa kawaida

Naitafakari sana kauli ya diamond platnumz kwenye wimbi wake mmoja anaposema; namnukuu; "hii ni sauti ya raisi, iliomshindaga Ibilisi na kwa mwanadamu sio rahisi" kuna vingi sana amevificha kwenye ubeti huu. Sio kwasababu ya kutafuta vina ili aweze ku'flow' la hasha;alilenga kufikisha ujumbe ambao Leo hii ndio tunajionea mafanikio yake makubwa asili yake iko wapi.

Umenena vema san hizi lyrics zina maana sana wakati mwingine chek hizi lyrics za P-square katika wimbo wao wa Bring it on nanukuu “ i don care who you’re and where you 4m @ what you do just as long as you chasing money do what’s right never give upon……… Life no dey sweet o eh
If some people no dey hate o
So use your number six o
Dey calculate you go see the ratio
The beef sef na meat o
Whether na asun dem relate o
So bring your own crayfish o
We go mix o oh na oh oo

We running things in this town cant you see”
So hapo kuna kitu ni direct wamefanikiwa sbb ya mikataba yao ya kuzimu so wanajaribu kutufichua akili zetu [emoji2213]
 
si kwamba hao waliofanikiwa kuna codes wamefungua ni vile tu wameweza kugusa vitu vinavyoweza kuwapatia matokeo makubwa!.
wanajua namna yakugusa,wanajua kuteleza kupoje,wanajua kuinuka pia kupoje..
kuna baadhi ya vitu kama siasa na dini kuna pengo kubwa sana la watu kutupiga maana hizo vitu mbili ni michezo ya kisaikolojia tu!.
udhaifu utakaouonyesha ndio tutakupigia hukohuko

wanajua mnashahuku za imani,na fikra zenu zinakiu za kutaka kuufahamu ukweli ama kuwafikisha kule mnakofikiria mnataka kufika..
so hiyo inatosha kuwafunga minyororo nakufanya mumfate aliewafunga!.

uhalisia wa mwanadamu upo ktk kutafiti,ila wengi hawatafiti maana tafiti inahitaji kufikiri na wengi ni wavivu kufikiri so waliojanjaluka wanatumia hiyo gap!..
ni sayansi ya kweli tu ndio haidanganyi na ukiona sayansi imedanganya jua wewe ndio umekosea kuitafsiri yani bado hujapata jibu!..
Tukikwambia kwa huo ufahamu wako uutumie kuteka watu kiimani, kiuchumi na mengine unaweza ?
 
Hivi ni akina nani hao ambao wanakua considered kuwa wame Break secret code?

Nyerere, Platinumz, Samatta, Ramadhani Brothers, Bharesa, Mo au Kusaga nk nk?

Ni Dangote, Mo Salah, Davido au Noah nk nk?

Je ni Trump, Bill Gate, Steve Job, Jay Z au Messi nk nk

Je ni Alexendra the Great, Newton, Einstein nk nk

Na akina nani hao ambao ni HIGHER-POWER

Nature ina sheria zake
Most people intend to ignore NATURE na kuanza kukumbatia IMANI kutafuta majibu

Binadamu hajui kila kitu lakini angalau sayansi imetusaidia kujibu maswali mengi yaliosingiziwa IMANI

Tunahitaji kuijua zidi The Law Of Nature
Kwanini kuna usiku na mchana, kuna majira kwa mwaka, kuna viumbe wakike wengi kuliko wakiume, kwanini social animal wanauongozi, kwanini wengine ni masikini wengine matajiri,
Kwanini sehemu fulani wanaugua sana ugonjwa fulani
Kwanini wapare ni wafupi nk nk

Badala yake tumejikita sana kwenye IMANI zitokanazo na vitabu ambavyo havijulikani muandishi ni nani wala vya mwaka gani wala ukweli wake na havina uthibitisho wowote zaidi ya hekaya za elfu ulela
Tuna amini katika nadharia hewa na kujijengea “fear of unknown”

Majibu ya hoja zako kiasi kikubwa yanajibika kisayansi
Hao ote ulowataja hapo ni wachumba tu mzee kuna 8% up to 10% ya watu ndo wanaoongoza ulimwengu huu na ote hao ndo secret code breaker refer rock feller family na nyinginezo
 
Code ni kujua source of knowledge Kama

Revelation
Intuition
Sense
Instinct

Kuna utofauti Kati ya MTU anayeamini kuanzia ndani yake na yule anayeamini kupitia mawazo na maoni ya watu .

Doesn't matter unapambana kiasi gani Ila ukiwa hauna the strongest inner power u will end up being broke with endless disappointments.

I used to unlock this code 2019 since then mambo yana flow vizuri.

Wazungu na watu extraordinary people wametuzidi sehemu Kama hizo kujisikiliza kuanzia ndani yao then kuweka vitu katika vitendo.


Ndo maana nashauri if you want to be come an extraordinary , focus on self-investment hata usipokuwa tajiri wa majumba na magari Ila kuna hatua ya ukuaji utafikia itayokupa the meaning life
Hapo kwenye instinct uko sahihi kabisa.
 
Naitafakari sana kauli ya diamond platnumz kwenye wimbi wake mmoja anaposema; namnukuu; "hii ni sauti ya raisi, iliomshindaga Ibilisi na kwa mwanadamu sio rahisi" kuna vingi sana amevificha kwenye ubeti huu. Sio kwasababu ya kutafuta vina ili aweze ku'flow' la hasha;alilenga kufikisha ujumbe ambao Leo hii ndio tunajionea mafanikio yake makubwa asili yake iko wapi.
Kuna ukweli ndani yake... Ukiangalia na kufatilia watu mashuhuri especially wasanii... Kuna vitu wanafanya behind the scenes (kupata fame na success) sidhan kua et kipaj na uwezo binafs ndo viliwatoa. It's all about the secret society.
 
Hao ote ulowataja hapo ni wachumba tu mzee kuna 8% up to 10% ya watu ndo wanaoongoza ulimwengu huu na ote hao ndo secret code breaker refer rock feller family na nyinginezo
Dunia inaongozwa na elite illuminated family Ambao ni watano TU.
Pesa zote duniani ni mali ya familia ya Rockefeller hawa ndio wamiliki WA world bank,madini yote dunia ni mali ya de beers bila kujali ypo nchi gani sisi ni wasimamizi TU wao ndio upanga Bei ya madini duniani.Kuna kina Du point family,Rothchild na nk wengi ni wayahudi
 
Umenena vema san hizi lyrics zina maana sana wakati mwingine chek hizi lyrics za P-square katika wimbo wao wa Bring it on nanukuu “ i don care who you’re and where you 4m @ what you do just as long as you chasing money do what’s right never give upon……… Life no dey sweet o eh
If some people no dey hate o
So use your number six o
Dey calculate you go see the ratio
The beef sef na meat o
Whether na asun dem relate o
So bring your own crayfish o
We go mix o oh na oh oo

We running things in this town cant you see”
So hapo kuna kitu ni direct wamefanikiwa sbb ya mikataba yao ya kuzimu so wanajaribu kutufichua akili zetu [emoji2213]
Ina maana maisha lazima uende beyond kidogo na mazoea ya watu ili uwe tofauti haswa katika jamii maskini hususani Africa.

Kwa sababu wazungu wanapo tafuta pesa hawaangalii jamii inasema nn ! Kama kuna watu wapo serious kutafuta pesa basi ni wazungu ili mradi wapate pesa tu mfano kuna watu ni pornstars tena ni prominent status kabisa wala hawajali kikubwa maokoto .

Watu wanaangalia matokeo sio nn unafanya .
 
Kuna kitabu cha Henry Ford ~ Today & Tommorow alijibu masuali mawili mule
Na nukuu “Why Dishonesty People succed in life??! and Why Honesty People Fail In Life?? Majibu yake Yana play role inayofanya wakati Mwingine tutofautiane kimafanikio
Mkuu naweza PATA softcopy hii
 
Nashangaa mkuu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Hizi nyuzi zako zina amsha amsha ya kufanya watu waangalie mambo katika sura nyingine.

Dunia imejaa nadharia nyingi sana ambazo hazijafanyiwa kazi.
Tatizo ni namna ya kuzing'amua.
Mfano mzuri ni, Elon Musk anavyofanya mambo kwa mtazamo/nadharia tofauti na ile iliyozoeleka....hii inaonesha yako mambo mengi sana ila yote yanategemea uwezo wa kifikra wa binadamu kùyafanya bayana.
 
Back
Top Bottom