si kwamba hao waliofanikiwa kuna codes wamefungua ni vile tu wameweza kugusa vitu vinavyoweza kuwapatia matokeo makubwa!.
wanajua namna yakugusa,wanajua kuteleza kupoje,wanajua kuinuka pia kupoje..
kuna baadhi ya vitu kama siasa na dini kuna pengo kubwa sana la watu kutupiga maana hizo vitu mbili ni michezo ya kisaikolojia tu!.
udhaifu utakaouonyesha ndio tutakupigia hukohuko
wanajua mnashahuku za imani,na fikra zenu zinakiu za kutaka kuufahamu ukweli ama kuwafikisha kule mnakofikiria mnataka kufika..
so hiyo inatosha kuwafunga minyororo nakufanya mumfate aliewafunga!.
uhalisia wa mwanadamu upo ktk kutafiti,ila wengi hawatafiti maana tafiti inahitaji kufikiri na wengi ni wavivu kufikiri so waliojanjaluka wanatumia hiyo gap!..
ni sayansi ya kweli tu ndio haidanganyi na ukiona sayansi imedanganya jua wewe ndio umekosea kuitafsiri yani bado hujapata jibu!..