Naamini mradi mkubwa kama Stiegler's Gorge haukosi dhahabu. Je, kama ndivyo zinaenda wapi?

Nikiangalia jamaa wa kwenye vipindi yva televisheni vya GOLD RUSH wanavyokimbizana na mikondo ya mito kuwinda dhahabu! Mleta mada anayo hoja ya msingi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…