[emoji23][emoji23][emoji23]una uhakika haujui tatizo?
Piga kimya.Hapana mkuu namba zangu zote mbili kafanya ivyo
Hata kama ningekuwa mimi ningekubrock kwa nini uwe na namba nisiyo izoeaSijui ila na wivu sana sijui lkn nn shida maana hivi karibu nimejiunga whatsapp namba nyingine tofauti na yeye alioizoea sasa naamka nakuta kanitext kwenye namba iyo mpya alf kafuta ile text then kaniblock
Mwanaume tena wivu unautolea wapii......au huna nguvuuSijui ila na wivu sana sijui lkn nn shida maana hivi karibu nimejiunga whatsapp namba nyingine tofauti na yeye alioizoea sasa naamka nakuta kanitext kwenye namba iyo mpya alf kafuta ile text then kaniblock
Hahahahaha...Mwanaume tena wivu unautolea wapii......au huna nguvuu