Naamka nakuta kaniblock

Naamka nakuta kaniblock

Unashindwa kuuliza kweli matokeo yake unatake action moja kwa moja
Zungumza nae, mueleze kwanini ulijiunga whatsapp na namba ingine bila kumueleza. Halafu muulize ujue sababu haswa ya yeye kuchukua maamuzi hayo ya kukuchapa block!
 
Sijui ila na wivu sana sijui lkn nn shida maana hivi karibu nimejiunga whatsapp namba nyingine tofauti na yeye alioizoea sasa naamka nakuta kanitext kwenye namba iyo mpya alf kafuta ile text then kaniblock
alipata wapi namba yako mpya mkuuu,,,elezea vzr uongo wako
 
Mkiambiwa mtafute hela mnakuwa wabishi.. haya sasa [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom