Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There you go! That's it!!Sijui ila na wivu sana sijui lkn nn shida maana hivi karibu nimejiunga whatsapp namba nyingine tofauti na yeye alioizoea sasa naamka nakuta kanitext kwenye namba iyo mpya alf kafuta ile text then kaniblock
Kama Mbwai, Mbwai 🤣Na wewe mblock
Alikua na mpenzi wake hakutaka usumbufuLeo asubuh kani unblock na kuishia kusalimiana tu hakuna kuulizana kimetokea nini jana usiku
Zungumza nae, mueleze kwanini ulijiunga whatsapp na namba ingine bila kumueleza. Halafu muulize ujue sababu haswa ya yeye kuchukua maamuzi hayo ya kukuchapa block!Unashindwa kuuliza kweli matokeo yake unatake action moja kwa moja
Ewaaaah!
Hapo ndipo inabidi kujitathimini mtu mwenyewe.Kwa mpenzi wake mpya[emoji28][emoji28][emoji28]
Acha janja janja 😂😂😂Hii ni ID yangu pia, utatumia hii kimwali.[emoji39]
Inachoma sanaPole sana... ataku unblock pale anapokuhitaji...
Mkuu hatimae leo umempa muongozo...Pole sana... ataku unblock pale anapokuhitaji...
alipata wapi namba yako mpya mkuuu,,,elezea vzr uongo wakoSijui ila na wivu sana sijui lkn nn shida maana hivi karibu nimejiunga whatsapp namba nyingine tofauti na yeye alioizoea sasa naamka nakuta kanitext kwenye namba iyo mpya alf kafuta ile text then kaniblock
hapo maneno hii mambo ya kulia lia wakati mwingine anapata tusker baridi sitaki kbsa....Na wewe mpige block, akija kukurejelea naye akutane nayo
Na ulivyo boya umemjibu [emoji3][emoji3]Leo asubuh kani unblock na kuishia kusalimiana tu hakuna kuulizana kimetokea nini jana usiku
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni ID yangu pia, utatumia hii kimwali.[emoji39]