OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
kasikia matatizo ya wanawake eti machozi yanamlengalenga
Maumivu ya kichwa huanza taaaaraaaatiiibuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kasikia matatizo ya wanawake eti machozi yanamlengalenga
kwa hizo posts hapo juu Boflo nakukana na nakukataza kutumia neno wanaume wenzangu!wewe upo kundi la peke yako!
kwa hizo posts hapo juu Boflo nakukana na nakukataza kutumia neno wanaume wenzangu!wewe upo kundi la peke yako!
Boflo saluni unafanya nini kama sio msusi halafu punga?
Kuna siku nilikuwa salon, kulikuwa na mashosti 2 wanaongea, nikawa nimejibanza na wao
hawakuniona . Shosti 1 alikuwa anamuhadithia mwenzake yanayomsibu, alikuwa anamwambia . nanukuu:-
Yaani shosti ,mwenzangu una raha sana, mume wako huwa anasafiri sana, mimi mwenzako
kila siku ikifika saa 9 ya usiku ndio naamshwa na mume wangu anataka nimpe mchezo, halafu ananifanya kwa nguvu hata kileleni huwa sifiki, imekuwa ndio tabia yake hataki mchezo mpake aamke saa 9 ya usiku na kuniamsha, mwenzio sina raha na ndoa, yaani taabu tupu mwisho wa kunukuu
Maoni Yangu
Baada ya kusikia malalamiko ya yule mdada nilipatwa na huzuni kubwa na machozi yalinilengalenga, kumbe hawa dada zetu msione wanameremeta kumbe kuna mijanadume mingine wanawapa mateso makali, Jamani si vizuri kumuasha mwenzako saa 9 ya usiku na kuanza kumsulubu, si ustaarabu hata kidogo, Wanaume jamani tuwe na roho za huruma, tuwe na imani na hawa viumbe
Kuna siku nilikuwa salon, kulikuwa na mashosti 2 wanaongea, nikawa nimejibanza na wao
hawakuniona . Shosti 1 alikuwa anamuhadithia mwenzake yanayomsibu, alikuwa anamwambia . nanukuu:-
Yaani shosti ,mwenzangu una raha sana, mume wako huwa anasafiri sana, mimi mwenzako
kila siku ikifika saa 9 ya usiku ndio naamshwa na mume wangu anataka nimpe mchezo, halafu ananifanya kwa nguvu hata kileleni huwa sifiki, imekuwa ndio tabia yake hataki mchezo mpake aamke saa 9 ya usiku na kuniamsha, mwenzio sina raha na ndoa, yaani taabu tupu mwisho wa kunukuu
Maoni Yangu
Baada ya kusikia malalamiko ya yule mdada nilipatwa na huzuni kubwa na machozi yalinilengalenga, kumbe hawa dada zetu msione wanameremeta kumbe kuna mijanadume mingine wanawapa mateso makali, Jamani si vizuri kumuasha mwenzako saa 9 ya usiku na kuanza kumsulubu, si ustaarabu hata kidogo, Wanaume jamani tuwe na roho za huruma, tuwe na imani na hawa viumbe
Thats domestic rape.....