Mahitaji
Unga nusu kilo
Plain yogurt 4 tablespoon
Sugar 1 teaspoon
Chumvi 1/2 teaspoon
Hamira 1 teaspoon
Baking powder 1/2 teaspoon
Warm water/warm milk
Siagi kwa ajili ya kuchomea
Namna ya kutaarisha
Changanya sukari na hamira na maji vijiko 3 vya kulia then acha for 30 minutes
1)Katika bakuli weka unga,chumvi na baking powder changanya vizuri...
2)Weka na mtindi then changanya vizuri
3)Mimina ile mchanganyiko wa hamira na sukari
4)Add maji kiasi hadi ushikane kama chapati...kanda hadi uwe laini
5)Acha kwa nusu saa
6)Tengeza viduara vidogo vidogo alafu sukuma round kama chapati(ukipenda fanya ukubwa kama chapati)
Namna ya kuchoma
Njia ya kwanza
Weka katika trey yako ya kuchomea then zipange naan zako zikiwiva pakaa siagi kidogo tu
Njia ya 2
Pakaa siagi chini ya trey yako weka naan then pakaa tena siagi juu yake..,
Naan tayar kwa kuliwa
Unga nusu kilo
Plain yogurt 4 tablespoon
Sugar 1 teaspoon
Chumvi 1/2 teaspoon
Hamira 1 teaspoon
Baking powder 1/2 teaspoon
Warm water/warm milk
Siagi kwa ajili ya kuchomea
Namna ya kutaarisha
Changanya sukari na hamira na maji vijiko 3 vya kulia then acha for 30 minutes
1)Katika bakuli weka unga,chumvi na baking powder changanya vizuri...
2)Weka na mtindi then changanya vizuri
3)Mimina ile mchanganyiko wa hamira na sukari
4)Add maji kiasi hadi ushikane kama chapati...kanda hadi uwe laini
5)Acha kwa nusu saa
6)Tengeza viduara vidogo vidogo alafu sukuma round kama chapati(ukipenda fanya ukubwa kama chapati)
Namna ya kuchoma
Njia ya kwanza
Weka katika trey yako ya kuchomea then zipange naan zako zikiwiva pakaa siagi kidogo tu
Njia ya 2
Pakaa siagi chini ya trey yako weka naan then pakaa tena siagi juu yake..,
Naan tayar kwa kuliwa

