these your mindless huhitaji kuletaa hapa Soscial network,ths its around all in/out of Daresalaam..na iko na very widely fans toka sehem mbalimbali leo unaitaka iwe kama Clan yako..tanua hio brain yako Mkuu.Nataka nioganaizi JF get together party, tuonane pale wote live, tufahamiane, tupiane michongo, deal, tufurahi, tunywe, wakubambiana na kupata wachumba hapo kazi kwao, Nina watu tayari washasapoti idea yangu, tunaweza pata sehemu nzuri hapa dar. vinywaji juu yetu. huchangaii. what you think about this idea WAKUU. toeni baraka zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wewe ni member tu....umeingia lini humu....????Nataka nioganaizi JF get together party, tuonane pale wote live, tufahamiane, tupiane michongo, deal, tufurahi, tunywe, wakubambiana na kupata wachumba hapo kazi kwao, Nina watu tayari washasapoti idea yangu, tunaweza pata sehemu nzuri hapa dar. vinywaji juu yetu. huchangaii. what you think about this idea WAKUU. toeni baraka zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo Miuno MweeeeeehhMkuu idea nzuri, nitakuwepo hiyo siku ya party na ntawaandalia shoo moja matata ya mauno kutoka kwa mtoto wa kitanga.
Ila watu mnaogopa bure tu, ukijitambulisha jina lako la huku ndo utajikuta umeamkia ununio kesho yake.
kwani unakosa gani mkuu mbona huna amaniMnataka kutupeleka sentro..umetumwa na Bashite eti...
Siji wewee
Thubutuuuuu !!!!!!
Thubutuuuuu !!!!!!
Eh upo hadi huku?? Embu kula likeNitakuwa mzamiaji.
Maana nisipo zamia sherehe ndani ya mwezi naumwa.