blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
Kitabu kinaelezea kijana aliechukuliwa afrika na kupelekwa uingereza na anatakiwa asome shule za awali hadi chuo, hivyo basi naomba kuelekezwa mitaa hasa ile ya kitajiri na sehemu za kupumzika hasa za kutembelea nk.
Anza na mitaa ya Kensington and Chelsea iko LondonKitabu kinaelezea kijana aliechukuliwa afrika na kupelekwa uingereza na anatakiwa asome shule za awali hadi chuo, hivyo basi naomba kuelekezwa mitaa hasa ile ya kitajiri na sehemu za kupumzika hasa za kutembelea nk.
Una shingapi?Kitabu kinaelezea kijana aliechukuliwa afrika na kupelekwa uingereza na anatakiwa asome shule za awali hadi chuo, hivyo basi naomba kuelekezwa mitaa hasa ile ya kitajiri na sehemu za kupumzika hasa za kutembelea nk.
Channel yangu Pendwa na BBC britAnza na mitaa ya Kensington and Chelsea iko London
Kwa habari kamili tumia google maps,Tv nk
Mie hii mitaa niliona ikizungumziwa BBC Lifestlye channel ni kama Masaki/Mikocheni flani hivi
Tumia GoogleKitabu kinaelezea kijana aliechukuliwa afrika na kupelekwa uingereza na anatakiwa asome shule za awali hadi chuo, hivyo basi naomba kuelekezwa mitaa hasa ile ya kitajiri na sehemu za kupumzika hasa za kutembelea nk.
Ah nzurii sanaChannel yangu Pendwa na BBC brit
Kitabu kinaelezea kijana aliechukuliwa afrika na kupelekwa uingereza na anatakiwa asome shule za awali hadi chuo, hivyo basi naomba kuelekezwa mitaa hasa ile ya kitajiri na sehemu za kupumzika hasa za kutembelea nk.
Hakuna cha bure, si ndio mkuu?Una shingapi?
Kitu cha bure atakipata kutoka kwa wazazi wakeHakuna cha bure, si ndio mkuu?
😥😥Anataka mitaa ipi wakati nipo Manchester city tulikua tunaenda na Babu sana kule Old Trafford Babu alikua rafiki mlezi wa Sir Alex F. 🫣Wapo wengi sana humu watakuja
Sjuii hata anatakaje😥😥Anataka mitaa ipi wakati nipo Manchester city tulikua tunaenda na Babu sana kule Old Trafford Babu alikua rafiki mlezi wa Sir Alex F. 🫣