Naandika, Nafuta: Viongozi tuoneeni huruma

Naandika, Nafuta: Viongozi tuoneeni huruma

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kila nikikaa kuangalia maisha ya mtu mweusi ulimwenguni, moyo unauma na hakuna dalili kuwa mtu mweusi akuja kuishi kwa furaha.

Tatizo lipo kwenye Ubongo wa walio wengi. Sample za kina Nyerere, Thomas Sankara, Lumumba, Nkrumah, Magufuli ni chache sana na zipinapigwa vita nje ndani.

Waafrika hawana vipaumbele.
Hawafikirii miaka ijayo
Akili zinawaza upigaji tu.

Hivi tunawezaje kujenga viwanja vya michezo kwa mabilioni ya pesa na shida zetu bado nyingi sana? Na mambo mengine mengi tu watu wanaweka mi budget ya kufa mtu ili mradi wapige tu.

Viongozi ifikirieni Tanzania bora.
Tanzania yenye shule nzuri na walimu bora,
Tanzania yenye hospitali nzuri na madaktari bora,
Tanzania yenye wakulimu wanaolima kisasa, sio hawa waliochoka,
Tanzania yenye barabara nzuri,
Tanzania yenye umeme na maji ya uhakika,
Tanzania yenye wafanyakazi wanaomudu maisha yao kila siku. Sio hawa wanaokula Miguu ya kuku na wameajiriwa na serikali tena ni wana Vyeti vya chuo kikuu.

Kwa ufupi tunataka Tanzania bora
 
Screenshot_20250211-175703.jpg
 
Kila nikikaa kuangalia maisha ya mtu mweusi ulimwenguni, moyo unauma na hakuna dalili kuwa mtu mweusi akuja kuishi kwa furaha.

Tatizo lipo kwenye Ubongo wa walio wengi. Sample za kina Nyerere, Thomas Sankara, Lumumba, Nkrumah, Magufuli ni chache sana na zipinapigwa vita nje ndani.

Waafrika hawana vipaumbele.
Hawafikirii miaka ijayo
Akili zinawaza upigaji tu.

Hivi tunawezaje kujenga viwanja vya michezo kwa mabilioni ya pesa na shida zetu bado nyingi sana? Na mambo mengine mengi tu watu wanaweka mi budget ya kufa mtu ili mradi wapige tu.

Viongozi ifikirieni Tanzania bora.
Tanzania yenye shule nzuri na walimu bora,
Tanzania yenye hospitali nzuri na madaktari bora,
Tanzania yenye wakulimu wanaolima kisasa, sio hawa waliochoka,
Tanzania yenye barabara nzuri,
Tanzania yenye umeme na maji ya uhakika,
Tanzania yenye wafanyakazi wanaomudu maisha yao kila siku. Sio hawa wanaokula Miguu ya kuku na wameajiriwa na serikali tena ni wana Vyeti vya chuo kikuu.

Kwa ufupi tunataka Tanzania bora
Bila shaka wewe utakua mgeni Africa na Tanzania kwa pamoja, karibu sana

kuna jamaa mmoja aligomea kusaini dili la yule bwana "Leta maneno" alikimbilia South kujificha, ikawa pona pona yake ya uhai, mpaka leo yuko kijijini kwao hana hata mia, na ni mtaalamu haswa wa sheria
 
Kila nikikaa kuangalia maisha ya mtu mweusi ulimwenguni, moyo unauma na hakuna dalili kuwa mtu mweusi akuja kuishi kwa furaha.

Tatizo lipo kwenye Ubongo wa walio wengi. Sample za kina Nyerere, Thomas Sankara, Lumumba, Nkrumah, Magufuli ni chache sana na zipinapigwa vita nje ndani.

Waafrika hawana vipaumbele.
Hawafikirii miaka ijayo
Akili zinawaza upigaji tu.

Hivi tunawezaje kujenga viwanja vya michezo kwa mabilioni ya pesa na shida zetu bado nyingi sana? Na mambo mengine mengi tu watu wanaweka mi budget ya kufa mtu ili mradi wapige tu.

Viongozi ifikirieni Tanzania bora.
Tanzania yenye shule nzuri na walimu bora,
Tanzania yenye hospitali nzuri na madaktari bora,
Tanzania yenye wakulimu wanaolima kisasa, sio hawa waliochoka,
Tanzania yenye barabara nzuri,
Tanzania yenye umeme na maji ya uhakika,
Tanzania yenye wafanyakazi wanaomudu maisha yao kila siku. Sio hawa wanaokula Miguu ya kuku na wameajiriwa na serikali tena ni wana Vyeti vya chuo kikuu.

Kwa ufupi tunataka Tanzania bora
Usilaani ujenzi wa kitu chochote bhana.
Laani upigaji pekee.

Kujenga miundombinu ya aina yoyote ni maendeleo.

Wakiwa kila wanachojenga tunapaza sauti za kulalamika tunakosea sana.

Kama wamepanga kujenga kiwanja basi wajenge wasiibe, kiwanja kikashindikana kukamilika.

Kama ni barabara wajenge na chochote kilichopangwa kujengwa, kijengwe wasitie tu ufisadi wao katika ujenzi huo.
 
Kila nikikaa kuangalia maisha ya mtu mweusi ulimwenguni, moyo unauma na hakuna dalili kuwa mtu mweusi akuja kuishi kwa furaha.

Tatizo lipo kwenye Ubongo wa walio wengi. Sample za kina Nyerere, Thomas Sankara, Lumumba, Nkrumah, Magufuli ni chache sana na zipinapigwa vita nje ndani.

Waafrika hawana vipaumbele.
Hawafikirii miaka ijayo
Akili zinawaza upigaji tu.

Hivi tunawezaje kujenga viwanja vya michezo kwa mabilioni ya pesa na shida zetu bado nyingi sana? Na mambo mengine mengi tu watu wanaweka mi budget ya kufa mtu ili mradi wapige tu.

Viongozi ifikirieni Tanzania bora.
Tanzania yenye shule nzuri na walimu bora,
Tanzania yenye hospitali nzuri na madaktari bora,
Tanzania yenye wakulimu wanaolima kisasa, sio hawa waliochoka,
Tanzania yenye barabara nzuri,
Tanzania yenye umeme na maji ya uhakika,
Tanzania yenye wafanyakazi wanaomudu maisha yao kila siku. Sio hawa wanaokula Miguu ya kuku na wameajiriwa na serikali tena ni wana Vyeti vya chuo kikuu.

Kwa ufupi tunataka Tanzania bora
zidisha juhudi katika kufanya kazi bila kulaumu wengine na kwahakika Tanzania mpya itapatikana 🐒
 
zidisha juhudi katika kufanya kazi bila kulaumu wengine na kwahakika Tanzania mpya itapatikana 🐒
Hadi siku ukijua kazi ya serikali katika kuleta maendeleo ndiyo utaacha comments za aina hii.
 
Back
Top Bottom