Naangamia naombeni msaada kukwepa hii laana

Naangamia naombeni msaada kukwepa hii laana

kutwa mara 3

Member
Joined
Jan 21, 2022
Posts
9
Reaction score
17
Naandika kwa uchungu sana..

Yapata muda mrefu sana nilikua na mpenzi wangu na nilitarajia kumuoa hivi karibuni, ila kabla ya kuoana tulikua tunatafuta mtoto na nilitoa unabii mtoto wa kwanza atakua ni wakike na kweli kawa wa kike kama nilivyo nena..

Kilichotokea ni hivi mahusiano yetu yalijengwa sana katika misingi ya imani kwa Mwenyezi Mungu na Mungu alitujalia tukavuka mpaka hapa..

Cha ajabu sana ni kwamba alipokua mjamzito wa mimba changa alijichanganya na kwenda kukutana na mwanaume mwingine ambae alimlagai kwa nguvu alizo amuakuzitumia yeye sijui kama ni zagiza au laha hasha?;!! Ikabidi ampe ule ujauzito , nilikua mpole na sikua na haraka niliacha mtoto azaliwe na alipo kua na miezi kadhaa tuliamua kwenda kupima nae Vipimo vya DNA kutokana na yeye aliniambia hakutoa mimba wala mimba haiku haribika .. Majibu yalitoka na niliambiwa na uhusiano wa vinasaba mara nne (4) na mtoto... japo sijafika asilimia za kua baba wa mtoto.

Nilipiga tathimini za kidunia nikapanga nimtelekeze abaki na huyo baba mwingine lakini mpaka sasa moyo na nafsi vimekataa kabisa kumkana mtoto na huyu mama yake, nimeingia kwenye maombi nikiomba na kufunga kama kunanguvu yeyote ikatike lakini cha ajabu moyo na nafsi bado vimekataa kukana mtoto na kila nikifikiria nasikia sauti inaniambia usifanye hivyo ni wa kwako nimeomba sana nimechoka imani inafika ukingoni nimejaribu kufanya maamuzi kidunia nafsi inanisuta sana na nikimwona mtoto na mam yake moyo unauma na sikia moto unachoma nafsini na sauti inaniambia ni wa kwangu japo na jaribu kushupaza kichwa ila hiyo kelele inapiga sana kichwani na ndani ya moyo wangu kuwa nisiwakane ni wachukue ni wangu nikaishinao..

Mara ya Mwisho nimeomba nikamwambia Mungu kama nimipango yako basi nikikaa nao pamoja tuwe na amani .. cha kushangaza Amani inatawala utafikiria hakuna kilichotokea kabisa kabisa hali iliyo nifanya nimebaki njia panda kabisa kabisa yani nipo kama nimepigwa giza machoni nuru hakuna mbele sioni kabisa bali naona hii ndio familia yangu na mke wangu na sii mwingine mwenye huyu mtoto bali ni mimi.

Naombeni sana mnishauri nifanyeje maana kiukweli sijui kwanini imekua hivi mpaka nahisi nikitumia nguvu kuwatelekeza hasahasa mtoto nitapata laana kubwa sana naombeni mnipe msaada wa kiroho na kimwili.. asanteni sana
 
Nakosa namna y kutoa ushaur mzur Kwa sabb uzur wake utaathiriw Sana na levo ya mapenzi yako Kwa huyo Dada! Emb rudi kwen hat siku 4 kwanza ukapewe Baraka kidogo
 
Una nguvu mbili zinashindana ndani yako....Fata nguvu kuu na unaijua ni ipi....

1.Huyo Mtoto ni wako, maana kazaliwa ndani kwako ukimkataa ni laana kwako, hutamsahau na atakutesa milele

2.Huyo ni mwanamke wako, ni changamoto yako Muombe MUNGU akupe nguvu ya kukusaidia uishi nae maana ni mtihani wa maisha yako

3.Mke wako Mchunguze vizuri ujue namna ya kumdhibiti ni mtu hatari...

4.ukimlea Huyo mtoto halafu akaja kuchukuliwa na babake kwa jinsi ninavyojua MUNGU Alivyo na kasi huyo mwanamke na mwanaume watakufa...na Mtoto Pia...nina uzoefu hapo maana manung'uniko yako kwa MUNGU Ndio hatari...ulifikirie hilo...

5.Wakati mwingine Jifunze kuvaa miwani ya mbao...kama vile huoni ili mambo yaende...

NB:Najua jibu langu ni controvesial...lkn nimekushauri kufuatana na upepo wako, nimekua harsh kidogo maana mambo ya imani ambayo ulimshirikisha MUNGU hua yanaisha na MUNGU...Na ni hatari sana....!

Karibu na pole...pambana ww ni mwanaume
 
Nyie watu mnao jifanya mna Mungu sana ndo huwa mna hangaika sana na kuongoza kwa kua na tabia za ajabu ajabu kwa kificho cha dini..

Mwanamke akisha kucheat na kuugawa uo ujauzito huyo sio wako tena amna cha uchawi hapa.
 
Kwanza siyo kweli kwamba alikwenda kufanya mapenzi na mwanaume mwingine akiwa tayari ana mimba. Hata biology ya kawaida tu inagoma. Huyo alikuwa ana mahusiano na huyo mtu kitambo.

Na yawezekana alipoona ameshapata mimba akaanza kukuzuga. Haiwezekani awe na mtoto afu wewe si baba yake kwa vipimo ukasema hivyo.

Sikiliza moyo wako. Lakini kama kafanya hivyo sasa anaweza rudia tena na tena na usijue. Pia fanya vipimo kujua uwezo wako wa nguvu za kiume.
 
Kifupi tu ni kuwa MAFAILI YAMECHANGANYIKANA NA KUJIMIX MNO HUKO KWA MEDULA YAKO.

1. Kuujenga uhusiano kwenye imani sana, na kwa kufunga na maombi, huku upande wa pili mnatafuta mtoto kabla ya ndoa ni dalili za kuchanganyikiwa

2. Kudhania kuwa mchumba alilaghaiwa kwa ushirikina akienda kutoa mbususu mpaka akapata ujauzito, na huku nyie ni watu wa kufunga na kuomba ni dalili za kuchanganyikiwa.

3. Kama maombi na mifungo imekupelekea kuwa na amani kama baba mlezi wa mtoto uliyebambikiwa, then why uombe ushauri? Uishi nao, usiwatelekeze, ila jua wife anajua kabisa kuwa kabahatika kupata Mento
 
Nyie watu mnao jifanya mna Mungu sana ndo huwa mna hangaika sana na kuongoza kwa kua na tabia za ajabu ajabu kwa kificho cha dini..

Mwanamke akisha kucheat na kuugawa uo ujauzito huyo sio wako tena amna cha uchawi hapa.

"Nyie watu mnao jifanya mna Mungu sana ndo huwa mna hangaika sana na kuongoza kwa kua na tabia za ajabu ajabu kwa kificho cha dini.." - Mr Devil


UKIONA MWENZIO ANAPAMBANA KUMJUA MUNGU USIMKEJELI SABABU WAPO WANAOPAMBANA KUMJUA SHETANI NA NGUVU ZAKE NA HAO NI HATARI HATA KWAKO.

Rum 10:9-12​

Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.

Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.

Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.

Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao
 
Kwanza siyo kweli kwamba alikwenda kufanya mapenzi na mwanaume mwingine akiwa tayari ana mimba. Hata biology ya kawaida tu inagoma. Huyo alikuwa ana mahusiano na huyo mtu kitambo. Na yawezekana alipoona ameshapata mimba akaanza kukuzuga. Haiwezekani awe na mtoto afu wewe si baba yake kwa vipimo ukasema hivyo.

Sikiliza moyo wako. Lakini kama kafanya hivyo sasa anaweza rudia tena na tena na usijue. Pia fanya vipimo kujua uwezo wako wa nguvu za kiume.
Nina document kutoka kwa mkemia mkuu ninayo hapa nimeiweka tuu kabatini
 
Yaani mwanamke kakiri kwako wewe mumewe kwamba kaenda kwa mwanaume mwingine nje na wewe mume wake ,kavua nguo zote ikiwemo chupppi yake kisha akaambiwa panua akapanua akaulizwa nikuingizie ***** yoteeee, au kichwa tu , akajibu ingiza utakavyo, akaingiziwa , akasuguliwa weeeeeeee, jamaa akamwambia sasa mama fulani mke wa nanihii ....akaitikia abeee, akaambiwa nataka kukojoa shahawa ~ akaulizwa tena nikukojolee ndani au niichomoe °°°°°°°° nikojolee nje? Akajibu "we kojolea tu humohumo kwa ndani ndio tamu zaidi". Akakojolewa akanasa mimba, kisha akatoka pale akakuletea wewe mumewe nyumbani.

Ukakaa ukatafakari hayo yoooote , ukashusha na maombi lakini bado umebaki njia panda pamoja na kupima DNA vipimo vikasema mwana huyo si wako.

Kitanda hakizai haramu, kooooh!.....kooooh!!!!!!
 
Back
Top Bottom