Naangamia naombeni msaada kukwepa hii laana

Dah
We jamaaaa
 
Ukiendeleza dini sana..unakua kama fala..hili suala achana na maombi tumia akili wewe mfia dini..acha kua ndezi kisa dini..piga chini huyo msaliti.

#MaendeleoHayanaChama
 
Na ilichomoka bahati mbaya..halafu wife akaichomeka tena fasta
 
Dah
We jamaaaa
Naaam.

Ujue wavulana wanapovuka hatua hiyo kuelekea kuwa wanaume huwa ni shida sana.

Nakumbuka mwanamke wa kwanza niliishi nae geto ndio nimeanza maisha ya kujitegemea tunalala pamoja tunaamka pamoja sitokuja kuisahau ile hali niliyokuwa najihisi kama Dunia yote niwaeleze kuwa huyu ndiye mwanamke wangu.

Ukizingatia kila siku unao uhakika wa kuchomeka Mzee wa pori mnatiana ova kesho haipo tena hadi mbavu zinauma kudadadeq! Piga miti ya kufa mtu , ke mwaga maji yote hadi anasema yameishako baaaba ! me chuma bado wima japo umechoka lakini unataka tu mwanzo mwisho.

Hali hii hufanya me kuchanganyikiwa na kuona karibia kila anachokifanya ke wake ni sahihi au yupo radhi kusamehe. Nahisi hii ndio hatua aliyopo mtoa mada maana kwa maelezo yake ni mtu wa maombi sana lakini anatia Binti ambaye bado hata hajafunga naye ndoa
 
Amka usingizini....Kuna sehemu umezidiwa ujanja bro.....haiwezekani umeambiwa kwa kunywa chake,ushahidi wa kisayansi umethibitisha we bado unakomaa.. anyways fallow ur heart
 
...a Man become what he thinks about most of time...

Things become the way you think...

Afu mkuu unachanganya kati ya ucha Mungu na ucha ulimwengu...
Mi nishaogopa hata kwenda kanisani kwa sababu ya umalaya wangu, wengine wanatoa wapi hii confidence ya kufunga na kuto*mbato*mba wanawake.
 
Na vipimo vya DNA vya huyo 'baba' mwingine vinasemaje?
 
Hiyo sentensi niliyo bord red unaielewa maana yake nini?
 
Aisee, hakuna kitu ambacho hakivumiliki kama usaliti. We umewezaje kuvumilia mkuu?. Anyway, zidi kumshirikisha Mungu kupitia maombi Ili akupe nguvu zaidi na njia sahihi ya kulitatua Hilo jambo. Pole Sana .
 
Bongo raha Sana yaan umetombewa na mwana kamwaga mbegu katunga mimba bado unasema nafs Inakuambua wakwako dah

DNA TEST umefanya imekuambia uhalisia bado huamin

Walokole ifike wakat mjitambue

Mtatombewa sana kwa hili hii

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…