Naanza kuamini Azam TV inaihujumu Azam FC!

Naanza kuamini Azam TV inaihujumu Azam FC!

Wewe jamaa mbona king'ang'anizi hivyo
Azam FC ni timu kubwa ki soka kuliko Simba na Yanga mkuu hivo 'technicians' wa Azam TV wanapaswa walielewe hilo. Leo sawia au! maana naangalia Simba na Mtibwa.
 
Azam FC ni timu kubwa ki soka kuliko Simba na Yanga mkuu hivo 'technicians' wa Azam TV wanapaswa walielewe hilo. Leo sawia au! maana naangalia Simba na Mtibwa.
Azam ni timu kubwa kuliko simba na yanga???
Duh kweli unahaki ya kusema azam wanahujumiwa pole sana
 
Azam ni timu kubwa kuliko simba na yanga???
Duh kweli unahaki ya kusema azam wanahujumiwa pole sana
Mkuu niambie kitu, je Yanga na Simba wana viwanja? Azam wanacho sio tu kiwanja bali cha kisasa!
 
Back
Top Bottom