Naanza kuamini kuwa Richi Mavoko hakukosea kusajiliwa kwenye lebel ya WCB

Naanza kuamini kuwa Richi Mavoko hakukosea kusajiliwa kwenye lebel ya WCB

Naona graph ya richi mavoko tokea ajiunge wasafi inazid kupanda day after day. Kwa wale tuliokuwa tunalalamika na kumponda kwa nn mavoko kajishusha kwnd kusimamiwa kazi na lebel ya wcb, kwa kweli tunaanza kuumbuka maana huyu mavoko siyo yule mavoko wa kabla ya kusajiliwa wasafi, maana alikuwa kama kaanza kupotea hivi na asingefanya uamuzi ule nahisi sasa hivi angekuwa kwny kundi moja na kina chid benz kutokana na stress.

Ukimwangalia mavoko now unaona kabisa ana amani ya moyo maana kila anachokigusa asa hiv kinageuka dhahabu. Naomba mungu aendelee kukusimamia ili uendelee kutufunga midomo tuliokuwa tunakuponda kipindi unajiunga wasafi.
Ngoma yake ya Rudi feat Patoranking unaionaje ?
 
Mavoko ana talent kubwa sana, alikosa tuu watu wanaojua kusukuma muziki wake maana hata ujue vipi kama hauna team ya kuweza kusimamia kazi zako utapotea tuu..

Sasa amepata watu hao, cha msingi ni kujisukuma tuu atumie uwezo wake wote
 
Belle nine angepata management nzuri naye angefika mbali, ila rich ashukuru WCB, King kaka(rabbit) angempoteza kabisa.
 
Keep your friends close, keep your enemies closer
 
Back
Top Bottom