Naanza kumwelewa kocha wa Simba (Fadlu)

Naanza kumwelewa kocha wa Simba (Fadlu)

Mechi ya Simba na Mashujaa ilikuwa ngumu, lakini sub alizokuja kufanya kocha sijaelewa ilikujaje kuleta matokeo, maana galfa umiliki ukahamia kwa Simba.

Najua wengi walishtuka Shabalala kutolewa halafu anaingia Nouma, Ateba alitolewa tukaanza kuwa na mashaka na Mukwala ni kama kikosi ilichanganywa flani Nouma anacheza kati Ahoua anarudi pembeni.

Naomba kwa waelewa pale zile sub za kina Ateba walipotolewa wakaingia kina Awesu, Nouma, Mukwala, kocha aliswitch kwenye mfumo gani? Maana naona kama ulifaa sana Simba kumiliki mpira na mashambulizi yalizidi.
Pale hakuna kikosi bila mo kutoa pesa na kufanya usajili wa maana sio janja janja sasa hivi tutamaliza ligi nafasi ya 4.
Tunza hii comment .
 
Mechi ya Simba na Mashujaa ilikuwa ngumu, lakini sub alizokuja kufanya kocha sijaelewa ilikujaje kuleta matokeo, maana galfa umiliki ukahamia kwa Simba.

Najua wengi walishtuka Shabalala kutolewa halafu anaingia Nouma, Ateba alitolewa tukaanza kuwa na mashaka na Mukwala ni kama kikosi ilichanganywa flani Nouma anacheza kati Ahoua anarudi pembeni.

Naomba kwa waelewa pale zile sub za kina Ateba walipotolewa wakaingia kina Awesu, Nouma, Mukwala, kocha aliswitch kwenye mfumo gani? Maana naona kama ulifaa sana Simba kumiliki mpira na mashambulizi yalizidi.
Mnaposhinda habari za gsm anaharibu ligi zinakoma na mnamwelewa fadlu, mkipoteza mnarudi Tena kwenye madam yenu ya gsm anaharibu ligi, kweli Rage akukosea ata kidogo!
 
Mechi ya Simba na Mashujaa ilikuwa ngumu, lakini sub alizokuja kufanya kocha sijaelewa ilikujaje kuleta matokeo, maana galfa umiliki ukahamia kwa Simba.

Najua wengi walishtuka Shabalala kutolewa halafu anaingia Nouma, Ateba alitolewa tukaanza kuwa na mashaka na Mukwala ni kama kikosi ilichanganywa flani Nouma anacheza kati Ahoua anarudi pembeni.

Naomba kwa waelewa pale zile sub za kina Ateba walipotolewa wakaingia kina Awesu, Nouma, Mukwala, kocha aliswitch kwenye mfumo gani? Maana naona kama ulifaa sana Simba kumiliki mpira na mashambulizi yalizidi.
Kwenye heading umesema kuwa umeanza kumuelewa Fadlu halafu kwenye content unakuja kuomba msaada wa kueleweshwa hili ni tatizo.
Baada ya zile sub, Mashujaa walikuwa hatari sana kwenye counter ila hawakuwa na ukomavu wa kiakili kufanya maamuzi sahihi.

Kilichoifanya mechi iishe kwa ushindi kwa Simba ni wao wenyewe Mashujaa. Watu waliopo nje ya pitch wamewatoa mchezoni wenzao kwa kulalamika lalamika ovyo kwa mwamuzi amalize mpira. Wachezaji wakapoteza focus na concentration ya mchezo hivyo wakafanya poor marking.
 
Mechi ya Simba na Mashujaa ilikuwa ngumu, lakini sub alizokuja kufanya kocha sijaelewa ilikujaje kuleta matokeo, maana galfa umiliki ukahamia kwa Simba.

Najua wengi walishtuka Shabalala kutolewa halafu anaingia Nouma, Ateba alitolewa tukaanza kuwa na mashaka na Mukwala ni kama kikosi ilichanganywa flani Nouma anacheza kati Ahoua anarudi pembeni.

Naomba kwa waelewa pale zile sub za kina Ateba walipotolewa wakaingia kina Awesu, Nouma, Mukwala, kocha aliswitch kwenye mfumo gani? Maana naona kama ulifaa sana Simba kumiliki mpira na mashambulizi yalizidi.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Pale hakuna kikosi bila mo kutoa pesa na kufanya usajili wa maana sio janja janja sasa hivi tutamaliza ligi nafasi ya 4.
Tunza hii comment .
Mo hana ujinga wa kuwapa hela marefa halafu kutowalipa wachezaji wake. Ndio maana ni mara chache sana kusikia Simba kuna mchezaji au kocha ameipeleka FIFA
 
Mo hana ujinga wa kuwapa hela marefa halafu kutowalipa wachezaji wake. Ndio maana ni mara chache sana kusikia Simba kuna mchezaji au kocha ameipeleka FIFA
Mimi nimeongelea usajili wa maana sio swala la kulipa wachezaji au kudhurumu sheik
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu) View attachment 3141410
Hujioni mjinga kurudia kila siku kitu kile kile cha kijinga?huna upeo wa kuandika kingine zaidi ya hiyo kwenye hili jukwaa?usionyeshe ukilaza wa kiwango cha juu kwa kiasi hiki
 
Kwenye heading umesema kuwa umeanza kumuelewa Fadlu halafu kwenye content unakuja kuomba msaada wa kueleweshwa hili ni tatizo.
Baada ya zile sub, Mashujaa walikuwa hatari sana kwenye counter ila hawakuwa na ukomavu wa kiakili kufanya maamuzi sahihi.

Kilichoifanya mechi iishe kwa ushindi kwa Simba ni wao wenyewe Mashujaa. Watu waliopo nje ya pitch wamewatoa mchezoni wenzao kwa kulalamika lalamika ovyo kwa mwamuzi amalize mpira. Wachezaji wakapoteza focus na concentration ya mchezo hivyo wakafanya poor marking.
Lakini baada ya zile sub hukuona mashambulizi yaliongezeka langoni kwa Mashujaa siyo kama mwanzo?
 
Hujioni mjinga kurudia kila siku kitu kile kile cha kijinga?huna upeo wa kuandika kingine zaidi ya hiyo kwenye hili jukwaa?usionyeshe ukilaza wa kiwango cha juu kwa kiasi hiki
Huyu ni mgonjwa msamehe anameza dawa za ukichaa😔
 
Mechi ya Simba na Mashujaa ilikuwa ngumu, lakini sub alizokuja kufanya kocha sijaelewa ilikujaje kuleta matokeo, maana galfa umiliki ukahamia kwa Simba.

Najua wengi walishtuka Shabalala kutolewa halafu anaingia Nouma, Ateba alitolewa tukaanza kuwa na mashaka na Mukwala ni kama kikosi ilichanganywa flani Nouma anacheza kati Ahoua anarudi pembeni.

Naomba kwa waelewa pale zile sub za kina Ateba walipotolewa wakaingia kina Awesu, Nouma, Mukwala, kocha aliswitch kwenye mfumo gani? Maana naona kama ulifaa sana Simba kumiliki mpira na mashambulizi yalizidi.
Mie nilimwelewa tangu awaadhibu Akina Mabululu. Huyu aachwe ana kitu kinaweza kisitokee mapema lakini kitatokea Tu.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu) View attachment 3141410
Naomba matokeo ya nyuma mwiko. Nitumie ndugu huku niliko network inasumbua sana
 
Hujioni mjinga kurudia kila siku kitu kile kile cha kijinga?huna upeo wa kuandika kingine zaidi ya hiyo kwenye hili jukwaa?usionyeshe ukilaza wa kiwango cha juu kwa kiasi hiki
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Back
Top Bottom