ndohotabu doho
Member
- Mar 12, 2018
- 75
- 86
Nachukuwa nafasi hii kuwaaga, mie naanza likizo. Likizo sio lazima uajiriwe. Likizo ni mapumziko.
Jitahidini nanyi muwe mnapumzika. Hata mumeo/mkeo uwe unampa likizo apate muda wa kutoka nje ya hapo kwenu aende kuosha macho kidogo Sakayo, Asprin, Mwifwa, Samaritan, mahondaw na wengine wooote.
Nikirudi nitakuwa nishampata rafiki na nitamtambulisha rasmi kwenu. Mbaki salama Wananzengo wote!
Jitahidini nanyi muwe mnapumzika. Hata mumeo/mkeo uwe unampa likizo apate muda wa kutoka nje ya hapo kwenu aende kuosha macho kidogo Sakayo, Asprin, Mwifwa, Samaritan, mahondaw na wengine wooote.
Nikirudi nitakuwa nishampata rafiki na nitamtambulisha rasmi kwenu. Mbaki salama Wananzengo wote!