Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hili suala ni dhahiri serikali inataka kufanya biased na wananchi. Kama watumishi wa umma tu mneshindwa kutuhudumia vizuri mpaka tunapata dawa grade 3 & 4, sasa mkihudumia angalau 30% ya Watanzania hali itakuwaje?
Zamani bima ya NHIF ilikuwa kama bakshishi kwa watumishi na toto afya ilikuwa kama msaada lakini sasa hivi NHIF mmeondoa dawa nyingi na huko ya watoto mmeondoa kila kitu. Bima ya Afya kwa wote ni biashara. Hatutaki.
Zamani bima ya NHIF ilikuwa kama bakshishi kwa watumishi na toto afya ilikuwa kama msaada lakini sasa hivi NHIF mmeondoa dawa nyingi na huko ya watoto mmeondoa kila kitu. Bima ya Afya kwa wote ni biashara. Hatutaki.