Naanzishaje mfumo wa malipo mtandaoni, kwa kupitia App au kadi

BraysonJohn

New Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
1
Reaction score
0
Juzi kati apa nilipata wazo zuri sana kwenye hii industry ya malipo ya mtandaoni. Na ningependa kujua ni sheria gani natakiwa kupitia au natakiwa niwe na kitu gani ili niweze kuanzisha mfumo huo. Najua hii nchi ina bureaucracy na changamoto na hizo pia ningependa kuzijua.
 
Mkuu,Nchi haina tatizo lolote as lon as wewe unao utaalamu,uzoefu na financial muscle.Si unaona NALA wanavopeta?Si unaona selcom wanavopeta,si unoana directpay nao wanavopeta?
 
Electronic Money Act na related acts!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…