Naapa Haki ya Mungu Yanga anaenda kuwatoa hawa Waarabu nyumbani kwao

Naapa Haki ya Mungu Yanga anaenda kuwatoa hawa Waarabu nyumbani kwao

IMG-20230528-WA0023.jpg

Hata mimi naona Mkuu 😅
 
Nahapa mbele ya Mungu hakika ivi yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao
Najua wengi mtanicheka Na kunikejeli lakini najua nikisemacho

Huwezi kumfunga Muarabu tena Algiers . Ni
Impossible possible . Nadra. Tena Fainali

Kumbuka hawa wapo 8 kwenye ligi yao . Nyie ndio mmeogoza . Hapa pia ni tofauti ya Ubora wa Ligi.


Muulize Assec , Assec ni bora zaidi ya Yanga .

Hawa hata mpira wao ukitizama , ni professionnel .kule mtakula chuma sio chini ya 2
 
Huwezi kumfunga Muarabu tena Algiers . Ni
Impossible possible . Nadra. Tena Fainali

Kumbuka hawa wapo 8 kwenye ligi yao . Nyie ndio mmeogoza . Hapa pia ni tofauti ya Ubora wa Ligi.


Muulize Assec , Assec ni bora zaidi ya Yanga .

Hawa hata mpira wao ukitizama , ni professionnel .kule mtakula chuma sio chini ya 2
Ndugu ukitaka Na Kupa ata namba yangu tutafutana Na Kupa Laki Moja ushike mikononi mwako yanga akitolewa Na waarabu pesa Izo sitokudai yanga akiwatoa waarabu unanirudishia pesa zangu
 
Nahapa mbele ya Mungu hakika ivi yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao
Najua wengi mtanicheka Na kunikejeli lakini najua nikisemacho
Huaminiki wewe.Kila utabiri kama timu yako.Ni utopolo tu.😂😂😂😂
 
Umeona mbali kombe linakuja
Ndugu nawaambia yeyote ambaye ana bisha Mimi nipo tayari kubeti Na sio kubeti Na mpa pesa yeye anakaa nazo yanga akifungwa Izo pesa ana Kula yanga akifunga ana nirudishia pesa zangu
 
Back
Top Bottom