[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kutaja jina la Mungu bure...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maskiniii unatia huruma mwenyeweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kombe bado watu wakae kwa kutulia anayeshangilia mwisho ndiye anashangilia vizuri
Mnaweza kushinda ndio ila suala la mama yako ni tamaa zako tu. Viapo gani hivyo?Hakika ya Mungu Tena Na rudia hakika ya Mungu Mama yangu ageuke kuwa mke Wangu yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao Na ukitaka tunaweza hata kubet
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tupe majina yako kamili tumfuate mama ako tumueleze haya
Sasa simba anakujajeee hapa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Faida ya Waarabu hawa kule kwao hawana Adui wa Ndani!!Kama YANGA na Simba!!Simba wamewaroga sana Yanga leo wasishinde ili Kusiwe na historia yakuchukua Kombe hili kwa Nchi yetu!!Sina mategemeo makubwa kwa ushindi ...Lakini dua nyingi kwa Timu yetu ya Wananchi
Hakika Waarabu hawa ni wepesi tu , kwa macho yangu goli lao la pili lilikuwa offside kwa yule mtoa krosi , sijui ni kwanini watu wa VAR walinyamazaNahapa mbele ya Mungu hakika ivi yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao
Najua wengi mtanicheka Na kunikejeli lakini najua nikisemacho
Usipuuze , kwa Yanga ya leo kama wale waarabu wangekuwa wakali wangeshinda 5 , yanga haikuwa na mbinuAcha kutaja jina la Mungu bure...
SawaUsipuuze , kwa Yanga ya leo kama wale waarabu wangekuwa wakali wangeshinda 5 , yanga haikuwa na mbinu
Mkuu wa nchi wa enzi hizo alitamka hivyo siku ya fainali mm ni nani nipingeKichwa cha mwendawazimu fainali? Wewe utakuwa chizi siyo bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Memosas walienda na gear ya kujilipua kama nmnavyoamini kumbe Usma ana mtego wa kutegua vilipuzi....aliishia kula virungu vya kichwa tu
Mgunda alijibu nini?Pumbaf zako kanye huko, ulifikiri yale majibu ya mgunda akimjibu huyo ma U.T.I wenu yangekuacha salama?
Sijamuona tena huyu ndugu, naamini ameshatubia makosa yake.Wewe ndiyo mganga wa Yanga uliwaaminisha watashinda leo imekua kinyume sasa unawapa matumaini tena mbaya zaidi umehalifu amri mbili ya kutaja bure jina la Mungu na kutoheshimu wazazi hiyo timu yako itatolewa kwa aibu ili ujue Mungu ni mkuu