Naapa mbele ya Mungu, Yanga ikiifunga TP Mazembe Leo najiondoa rasmi JamiiForums

Mkuu taarifa zako tunazo kuna yule jamaa mlitaka kupiga nae dili kule bandari ya mtwara kuhusu magendo na ukaapa mwaka hutaisha lazima ununue gari yako
Umeajiriwa mwaka jana tuu unataka kupiga madili tunakufuatilia kwa ukaribu sana

Faili lako lipo sehemu husika umetegwa ukijaaa tuu hiyo kazi huna na mahakaman unaenda
Asante
 
Nakuonea huruma acha kujidanganya
 
Wewe nae umetokea wapi matapeli mnavamia kila jukwaa sasa humu ni Great thinkers pekee kutapel huku ni ngumu sana rudini Facebook au mkajifunze upya Elimu ya utapeli, ahsante, otherwise kamtishe mama yako shamba huko
 
Wewe nae umetokea wapi matapeli mnavamia kila jukwaa sasa humu ni Great thinkers pekee kutapel huku ni ngumu sana rudini Facebook au mkajifunze upya Elimu ya utapeli, ahsante, otherwise kamtishe mama yako shamba huko
Tunakufuatilia kwa ukaribu sana malengo yako tunayajua vzr huo wizi wako unaotaka kuibia serikali utakupeleka pabaya
Watch out!!!
 
Vipi jamaa alijiondoa kweliii [emoji16] au aliyageuka maneno yake [emoji848][emoji848]
 
Tunakufuatilia kwa ukaribu sana malengo yako tunayajua vzr huo wizi wako unaotaka kuibia serikali utakupeleka pabaya
Watch out!!!
Wewe matako wewe ni mlinzi wa Mali ya serikali ya Tanzania? Kama ndio nenda kaanze kuwakamata waliotajwa na CAG maana wanajulikana sio kuanza kuja kupiga ramli hapa
 
Wewe matako wewe ni mlinzi wa Mali ya serikali ya Tanzania? Kama ndio nenda kaanze kuwakamata waliotajwa na CAG maana wanajulikana sio kuanza kuja kupiga ramli hapa
We tukana uwezavyo ila elewe upo kwenye rada zetu haki ya nan nakuambia safari hii tutalala na wewe mbele hao wa CAG wana muda wao
Hutuwezi kuendelea kufuga majizi serikalini
 
We tukana uwezavyo ila elewe upo kwenye rada zetu haki ya nan nakuambia safari hii tutalala na wewe mbele hao wa CAG wana muda wao
Hutuwezi kuendelea kufuga majizi serikalini
Jana tu nimeiba na hamjanikamata[emoji23][emoji23][emoji23]
 
We tukana uwezavyo ila elewe upo kwenye rada zetu haki ya nan nakuambia safari hii tutalala na wewe mbele hao wa CAG wana muda wao
Hutuwezi kuendelea kufuga majizi serikalini
Jana nimeiba Leo naiba tena maana kesho na keshokutwa ni weekend [emoji867]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…