MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Salamu kwa mkeo ,kwangu sio kipaumbele .
Nawasalimu wote wanaonijua na wanaonipenda ,endeleeni kufurahia na kufanya yapendezayo moyo wenu .
Kwaheri watanzania ,kwaheri marafiki ,kwaheri ma_ex ,kwaheri warembo ,kwaheri mashababi na kwaheri majobless pro max .
Nawapenda Sana Ila mwisho na sio kwa umuhimu kwaheri Samia na kwaheri Dkt. Gwajima D ,tukutane kesho hapa hapa jamvini .
Nakupenda Tanzania ,wazee kwa vijana na wanawake habari iwafikie Sasa mjini si shamba na mzaramo Mimi si mwanakijiji tena Ila Sasa ni mtoto wa mjini jaa nikumalize ,inuka nikugonge ,inama nikisujudie ,ahsante nchi yangu ,ahsante akili zangu na elimu yangu sasa ya kale yamepita ,tukutane nyuma ya nondo nikiwafundisha judo na kuwapiga maswali mtambuka .
🙏🙏
Nawasalimu wote wanaonijua na wanaonipenda ,endeleeni kufurahia na kufanya yapendezayo moyo wenu .
Kwaheri watanzania ,kwaheri marafiki ,kwaheri ma_ex ,kwaheri warembo ,kwaheri mashababi na kwaheri majobless pro max .
Nawapenda Sana Ila mwisho na sio kwa umuhimu kwaheri Samia na kwaheri Dkt. Gwajima D ,tukutane kesho hapa hapa jamvini .
Nakupenda Tanzania ,wazee kwa vijana na wanawake habari iwafikie Sasa mjini si shamba na mzaramo Mimi si mwanakijiji tena Ila Sasa ni mtoto wa mjini jaa nikumalize ,inuka nikugonge ,inama nikisujudie ,ahsante nchi yangu ,ahsante akili zangu na elimu yangu sasa ya kale yamepita ,tukutane nyuma ya nondo nikiwafundisha judo na kuwapiga maswali mtambuka .
🙏🙏