Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Mwakarobo unayejificha kwenye kichaka cha Yanga.Haiwezekani atukoseshe kombe la CAF kirejareja tu. Aondoke tu kwakweli. Ona sasa jinsi makolo wanavyotuzodoa.
Ama kweli shukrani ya punda ni matekeHaiwezekani atukoseshe kombe la CAF kirejareja tu. Aondoke tu kwakweli. Ona sasa jinsi makolo wanavyotuzodoa.
Hahaha propaganda za watoto wa chekechea..... your head is full of crap body.Haiwezekani atukoseshe kombe la CAF kirejareja tu. Aondoke tu kwakweli. Ona sasa jinsi makolo wanavyotuzodoa.
Kolo FC huyo tunamjua, Nabi bado yupo sana,sasa endeleni kuwaleta wachezaji wazuri kama mawakala wa uchaguzi, huku mkiisajili mishipa wakina Sawadogo, Okwa,Akpan nk.
Jiandae kwa mapovu mkuu. Mimi nimeshayapata ya kutosha.Hili li nabi hamna kocha bora afukuzwe tu
Makolokolo yakiteseka namna hii nahisi nipo mbinguni kabisaaa, Wananchiiiiiii...[emoji847]Hili li nabi hamna kocha bora afukuzwe tu
Makolo mnateseka sana....Haiwezekani atukoseshe kombe la CAF kirejareja tu. Aondoke tu kwakweli. Ona sasa jinsi makolo wanavyotuzodoa.