Nabi kapigwa chini FAR Rabbat?

Hamna cha maana ulichoandika kwahiyo ligi kuu,fa na ngao ndio mafanikoo makubwa kwa yanga
 
Kufika final sio mbali?
Kufika fainali mashindano ambayo inabidi ushindwe kuingia makundi kwanza utolewe ndio upate nafasi ya kushiriki sio ya kuyaongelea kwa wakubwa .kwahiyo na msimu huu pia ulitamani utolewe huku ili ushiriki kule ?? Kama hautamani kutolewa huku ujue kule sio mafanikio kama huku la sivyo timu zingekua zinajifungisha makusudi ili zakishiriki kule na wakina marumo zifike fainali.kuingia makundi kww wakubwa ni hatua kubwa kuliko fainali ya wanyonge
 
Kumbe nahangaika na mgojwa wa akili hapa, hio timu yako ilijifungisha kwa Jwaneng Galaxy ilifika wapi? timu kubwa Africa Al Ahly, Wydad, Zamalek, Mamelodi sundowns, Raja Casablanca, Esperence , Mazembe zisha chukua confederation cup kwa hio hawana akili wewe kibwengo hapo ndio unajua?
 
Ungejifungisha makusudi badi ushiriki huko ukacheze tena fainali ,unafanya nini huku kwa wakubwa? Kwahiyo hizo timu ulizotaja hapo kama zilifeli kipindi hicho kama wewe ulivyofeli msimu uliopita ndio unajifananisha na wewe ambaye miaka 25 unapambana kuingia makundi tu
 
Nahangaika na lofa
hapa nmekuuliza baada ya kujifungisha mliishia wapi?
 
Ukubwa wako unaojisifia ni kucheza African League,tena unajidaia kushiriki tu,ahaaaa


Aahaaaa,kushiriki tu na siyo kuchukua ubingwa,dah

Eti mkubwa,ahaaaaaa

Hiyo AL kama haitofutwa,hata Yanga atashiriki msimu ujao,no big deal

Eti Kwa wakubwa,iutafikiri huo ukubwa ndo unacheza uwanjani,ahaaaaa dah
 
Mkuu, usiangaike na huyo fogoh2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…