steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Wanasema wenyewe bloanguHuwa mnawanga pamoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema wenyewe bloanguHuwa mnawanga pamoja?
Hamna cha maana ulichoandika kwahiyo ligi kuu,fa na ngao ndio mafanikoo makubwa kwa yangaHakuna KIONGOZI Bora WA MPIRA Tanzania kama Eng Hersi kwa sasa.
1. Usajili Bora WA wachezaji.
Bangala , Mayele, Azizi ki, Aucho na zoazoa ni Top top players.
2 Mafaniko ndani ya Club.
Kupata LIGI UBINGWA WA LIGI KUU, FA, Ngao ya Jamii, 202-21 -2022.
Kucheza Fainali CAFCC.
3.usajili WA WANACHAMA ndani ya club kwa Mfumo Bora na wakisasa electronics.
4. Usimamizi Bora WA Jersey na mechandize za Club
Nyingine nitamalizia Baadaye.......
Mafanikio katika club ya mpira ni yapi?Hamna cha maana ulichoandika kwahiyo ligi kuu,fa na ngao ndio mafanikoo makubwa kwa yanga
Kufika mbali kimataifa baada ya kufanikiwa kuchukua makombe ya kibongobongo,sio kila siu mfanikio ni ngao,mapinduzi ,nbcMafanikio katika club ya mpira ni yapi?
Simon Msuvq, Nadir Haroub, Ally Mayayi kwa uchache hawa walipita Manyema au Green Warriors?Yanga wanga sana,yaani kila anayepita hapo akiondoka hatoboi, itafika muda watu wataogopa kufanya kazi na Yanga.
Hapo ni Msuva tu ndio hamkumroga wanga nyieSimon Msuvq, Nadir Haroub, Ally Mayayi kwa uchache hawa walipita Manyema au Green Warriors?
Kufika final sio mbali?Kufika mbali kimataifa baada ya kufanikiwa kuchukua makombe ya kibongobongo,sio kila siu mfanikio ni ngao,mapinduzi ,nbc
Kufika fainali mashindano ambayo inabidi ushindwe kuingia makundi kwanza utolewe ndio upate nafasi ya kushiriki sio ya kuyaongelea kwa wakubwa .kwahiyo na msimu huu pia ulitamani utolewe huku ili ushiriki kule ?? Kama hautamani kutolewa huku ujue kule sio mafanikio kama huku la sivyo timu zingekua zinajifungisha makusudi ili zakishiriki kule na wakina marumo zifike fainali.kuingia makundi kww wakubwa ni hatua kubwa kuliko fainali ya wanyongeKufika final sio mbali?
Kumbe nahangaika na mgojwa wa akili hapa, hio timu yako ilijifungisha kwa Jwaneng Galaxy ilifika wapi? timu kubwa Africa Al Ahly, Wydad, Zamalek, Mamelodi sundowns, Raja Casablanca, Esperence , Mazembe zisha chukua confederation cup kwa hio hawana akili wewe kibwengo hapo ndio unajua?Kufika fainali mashindano ambayo inabidi ushindwe kuingia makundi kwanza utolewe ndio upate nafasi ya kushiriki sio ya kuyaongelea kwa wakubwa .kwahiyo na msimu huu pia ulitamani utolewe huku ili ushiriki kule ?? Kama hautamani kutolewa huku ujue kule sio mafanikio kama huku la sivyo timu zingekua zinajifungisha makusudi ili zakishiriki kule na wakina marumo zifike fainali.kuingia makundi kww wakubwa ni hatua kubwa kuliko fainali ya wanyonge
Yah sure......hata mimi mimi naonaYanga wanga sana,yaani kila anayepita hapo akiondoka hatoboi, itafika muda watu wataogopa kufanya kazi na Yanga.
Ungejifungisha makusudi badi ushiriki huko ukacheze tena fainali ,unafanya nini huku kwa wakubwa? Kwahiyo hizo timu ulizotaja hapo kama zilifeli kipindi hicho kama wewe ulivyofeli msimu uliopita ndio unajifananisha na wewe ambaye miaka 25 unapambana kuingia makundi tuKumbe nahangaika na mgojwa wa akili hapa, hio timu yako ilijifungisha kwa Jwaneng Galaxy ilifika wapi? timu kubwa Africa Al Ahly, Wydad, Zamalek, Mamelodi sundowns, Raja Casablanca, Esperence , Mazembe zisha chukua confederation cup kwa hio hawana akili wewe kibwengo hapo ndio unajua?
Nahangaika na lofaUngejifungisha makusudi badi ushiriki huko ukacheze tena fainali ,unafanya nini huku kwa wakubwa? Kwahiyo hizo timu ulizotaja hapo kama zilifeli kipindi hicho kama wewe ulivyofeli msimu uliopita ndio unajifananisha na wewe ambaye miaka 25 unapambana kuingia makundi tu
Ukubwa wako unaojisifia ni kucheza African League,tena unajidaia kushiriki tu,ahaaaaUngejifungisha makusudi badi ushiriki huko ukacheze tena fainali ,unafanya nini huku kwa wakubwa? Kwahiyo hizo timu ulizotaja hapo kama zilifeli kipindi hicho kama wewe ulivyofeli msimu uliopita ndio unajifananisha na wewe ambaye miaka 25 unapambana kuingia makundi tu
Mkuu, usiangaike na huyo fogoh2Kumbe nahangaika na mgojwa wa akili hapa, hio timu yako ilijifungisha kwa Jwaneng Galaxy ilifika wapi? timu kubwa Africa Al Ahly, Wydad, Zamalek, Mamelodi sundowns, Raja Casablanca, Esperence , Mazembe zisha chukua confederation cup kwa hio hawana akili wewe kibwengo hapo ndio unajua?
Wanga tunajuana *****Hapo ni Msuva tu ndio hamkumroga wanga nyie