Una ushahidi gani kama Nabi anataka Feitoto asiondoke? Timu imefika hapo bila uwepo wa FeitotoKocha nabi ndo mtu anaeshinikiza kwa nguvu zote kutokuondoka kwa Feisal, anajua uwezo wa Fei na anajua umuhimubwake ndani ya kikosi na anajua hakuna mchezaji anaefikia nusu ya uwezo wa fei kwa nafasi anazocheza
Mashabiki wa utopolo acheni kumtukana fei na kumkejeli Kama msimu mzima mlikua hamjaona pengo lake jana ndo mmeliona,
na Nabi jana kasema hana namba kumi mwingine zaidi ya Aziz K kwenye kikosi chake..
USM, Siyo Marumo wala Si Bamako na si Rivers..
Tulieni mkakandwe tena Mrudi mmeloaView attachment 2639015
Kama mlijua lolote linawezatokea kwanini mlijipa ubingwa kabla ya dk 180?Marumo alivyomfunga USMA goli mbili kavu je hai USMA walikuwa ni nani Namungo au? Kwenye mpira lolote linaweza kutokea na yeyote yule anaweza kukufunga kama utafanya makosa
[emoji23][emoji23]Wajinga tangu waifunge ile timu ya uzaramuni sijui inaitwa Marumo basi mji mzima umekuwa kero.
Wakaanza kujiona Man City kelele nyingi wakaunda na tamasha kwa ajili ya kutucheka
Now wameanza kuja na kauli za maombolezo eti na kutia tia huruma kindezi, sheeenzi
Nabi aondolewe yaani eng hersi alimfuata aziz kwao halafu et anasema hafai😀😀Uaisahau timu imefika hapo kwa kukutana na wagonjwa kama Marumo,rivers,Mazembe na bamako
Jana nabi kamnanga aziz
Mbna hao Marumo nao walifungwa na ISMA afu husemi.Marumo alivyomfunga USMA goli mbili kavu je hai USMA walikuwa ni nani Namungo au? Kwenye mpira lolote linaweza kutokea na yeyote yule anaweza kukufunga kama utafanya makosa
Ndio maana nikasema mpira haupo hivyo ambavyo mleta uzi anafiikiria, ameidharau Marumo wakati Marumo hao hao wamemfunga USMA. Marumo na USMA kila mmoja kamkandia mwenzie kwake.Mbna hao Marumo nao walifungwa na ISMA afu husemi.
YANGA KAZIFUNGA TIMU NYINGI MSIMU HUU SIMBA IKIWEMOWajinga tangu waifunge ile timu ya uzaramuni sijui inaitwa Marumo basi mji mzima umekuwa kero.
Wakaanza kujiona Man City kelele nyingi wakaunda na tamasha kwa ajili ya kutucheka
Now wameanza kuja na kauli za maombolezo eti na kutia tia huruma kindezi, sheeenzi
Mechi mliyotufunga ilisababishwa na sub za kocha.YANGA KAZIFUNGA TIMU NYINGI MSIMU HUU SIMBA IKIWEMO
feisal ni mchezaji mzuri ila sio pengo timu imefika fainali huyo fei hayupo,ningeelewa huu upuuzi km yanga isingetoboa kwenye makundi lkn sio kwa levo hizi tulizofikia,kwanini yanga isifungwe???Ndio maana nikasema mpira haupo hivyo ambavyo mleta uzi anafiikiria, ameidharau Marumo wakati Marumo hao hao wamemfunga USMA. Marumo na USMA kila mmoja kamkandia mwenzie kwake.
kuna tofauti kubwa sana pale tulipowafungeni nyinyi na mlipotufunga sisi,tumewafunga mechi iliyoongeza kitu kwenye kabati la makombe mmetufunga ktk mechi ambayo haikuwaongezea chochote kwenye mashindanoMechi mliyotufunga ilisababishwa na sub za kocha.
Halafu umeishia hapo, ina maana hujui kuwa last derby ulipasuka?
Mashabiki wa Yanga ndio wanaotaka kumpigia chapuo mla sukari wao kuwa ana umuhimu. Huyo kwasasa hakuna pengo lake ila Aucho dah basi kwavile hakuna jinsi. Aucho ni pengo palefeisal ni mchezaji mzuri ila sio pengo timu imefika fainali huyo fei hayupo,ningeelewa huu upuuzi km yanga isingetoboa kwenye makundi lkn sio kwa levo hizi tulizofikia,kwanini yanga isifungwe???
Raha kumfunga mtanikuna tofauti kubwa sana pale tulipowafungeni nyinyi na mlipotufunga sisi,tumewafunga mechi iliyoongeza kitu kwenye kabati la makombe mmetufunga ktk mechi ambayo haikuwaongezea chochote kwenye mashindano
afu mtu akichagua ANDAZI mnanunaRaha kumfunga mtani
Hakuna anaenuna, subirini tar 3 mzikwe rasmiafu mtu akichagua ANDAZI mnanuna
we ushazikwa kitambo huku kikiwa kimekufaHakuna anaenuna, subirini tar 3 mzikwe rasmi