Kocha nabi ndo mtu anaeshinikiza kwa nguvu zote kutokuondoka kwa Feisal, anajua uwezo wa Fei na anajua umuhimubwake ndani ya kikosi na anajua hakuna mchezaji anaefikia nusu ya uwezo wa fei kwa nafasi anazocheza.
Mashabiki wa utopolo acheni kumtukana fei na kumkejeli Kama msimu mzima mlikua hamjaona pengo lake jana ndo mmeliona.
na Nabi jana kasema hana namba kumi mwingine zaidi ya Aziz K kwenye kikosi chake..
USM, Siyo Marumo wala Si Bamako na si Rivers..
Tulieni mkakandwe tena Mrudi mmeloa.
View attachment 2639015