Nabi na Viongozi wa Yanga wanapong'ang'ania Fei Toto asiondoke Wanajua Aziz Ki hatoshi

Ndio maana nikasema mpira haupo hivyo ambavyo mleta uzi anafiikiria, ameidharau Marumo wakati Marumo hao hao wamemfunga USMA. Marumo na USMA kila mmoja kamkandia mwenzie kwake.
Sasa Yanga kwake kashindwa kumkanda ndo atawezaa kwaooo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabageni nae tu aongeze nguvu walau kwa hiyo mechi moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…